Kuna jamaa alipata ajali mbaya sana kwa bahati nzuri hakufa sema bajaji ilimbana kwenye mti na kumfanya azimie.Watu walikuwa wanapita bila kumpa msaada unajua kilichomponza ni nini?Kwenye bajaji yake kwa nyuma aliandika hivi "NIACHENI KAMA NILIVYO HAYA NDIO MAISHA YANGU"
Nitafute ntakusimulia kwa mdomo na kama usipoelewa tena nitamwita mwalimu akueleweshe na kama utakuwa haujaelewa tena nitakuonyesha video yake na kama itakuwa haujaelewa tena nitakuandikia kwa lugha nyingine ikiwa haujelewa tena geuza screen usome upya na kama hapo haujaelewa usisome tena
Jamaa karudi toka safari kwa kuwa alikuwa na hamu sana alipofika nyumbani akaelekea mpaka chumbani kwake...mara akashtuka kukuta watu wawili wamelala(mwanamke na mwanaume) na sio mmoja kama alivyozoea mara akapandwa na hasira akachukua rungu na kuanza kuipiga ile miguu na kurudi tena...
Tusimhukumu tatizo mfumo wa elimu wa nchi hii una mapungufu yaani hauendani kabisa na hali ya wanatanzania embu angalia katika somo la History 2 kidato cha tano na cha sita kuna topic kama INDUSTRIAL REVOLUTION au RISE OF DICTATORSHIP sasa haya mambo yanatuhusu nini Tanzania kama yeye anapenda...
Basi moja lilipata ajali likatumbukia kwenye mto.Basi katika jitihada za kujiokoa jamaa mmoja akafanikiwa kutoka nje ya mto mara akaanza kuvua shati na suruali na kurudi tena kwenye maji watu wakaanza kumuuliza we vipi tena mbona unarudi tena mtoni jamaa naye akawajibu "NAMTAFUTA KONDAKTA...
Jamaa baada ya kugundulika kuwa ni yeye aliyempa mimba mtoto aliamua kwenda kujisalimisha kwa wazazi wa mwanamke
JAMAA:Shikamoo baba,mimi ndiye niliyempa mimba binti yako lakini siwezi kumuoa ila kama akizaa mtoto wa kiume nitakupa Milioni 50,kama akizaa mtoto wa kike nitakupa Milioni 20 lakini...
Kuna mgambo alimkamata mmasai kwa kosa la kukojoa mahali ambapo haparuhusiwi hivyo basi akamtoza mmasai elfu tano,mmsai akatoa elfu kumi kuona vile akamwambia sina chenji we kojoa tena
Wamakonde fulani siku moja walikuwa kwenye roli wakielekea msibani...waliimba nyimbo mpaka zikaisha wakabaki wanaangaliana basi mara mmakonde mmoja akajichoma na msumari akaanza kulia ''MAMAAAA NCHUMARI UNENCHOMAAA WEEE!! wenzake wakajua mwenzao kaanzisha mwimbo wakaanza kuimba ''MAMAAA NCHUMARI...
Kuna rafiki yangu aliniambia kuwa mti unaozaa machungwa unaitwa mchungwa na mti unaozaa maembe unaitwa mwembe(muembe) lakini mti unaozaa ndizi unaitwa mgomba kwa sababu ukipanda ndizi hautaota mgomba je hii ni sahihi?
Kuna rafiki yangu aliniambia kuwa mti unaozaa machungwa unaitwa mchungwa na mti unaozaa maembe unaitwa mwembe(muembe) lakini mti unaozaa ndizi unaitwa mgomba kwa sababu ukipanda ndizi hautaota mgomba je hii ni sahihi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.