Tatizo ni data, je tunatakwimu za kuwatambua makundi ayo ya watu ? Tatizo la wabongo ata wenye uwezo wa kati wataenda kupanga foleni kwenye chakula cha misaada...yani leo hii ukitangaza umeme bure kesho tu majiko ya umeme yataadimika.
Maamuzi magumu yanaitajika, kwa hali inavyokwenda lockdown is...
Unachotakiwa kuelewa kwakuwa kodi zimepandishwa ,ni vigumu kupata wawekezaji wapya...na wale ambao wameshawekeza (wanaozalisha) wataendelea lakini life of mine ktk mgodi usiku itapungua kwani cut off grade itakuwa adjusted ili kuendana na ongezeko la kodi.
Kwa sasa unaweza sema mapato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.