oyaaaaaaaaaa kama unanzingua flani hivi????????/ au umekosa cha ku-post? hiili jambo unaongelea kuna thraed kibao zimesha sema!!!!!!!! so kama vipi uweunapitia thread nyingine kabla hauja post kitu! yaani kifupi una-boa brother, JIPANGEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.................................
Vp baba utuambizane bac Mtoa mada! una dondoo kuhusu selection nini? Kwani umeshapata addmission pande hizo nini? Cause kama unajihakikishia ushindi hiviii
Khaa! huu ni wizi mtupu tena in black and white, yaani hiyo process of application on the basis of first come first served, siyo fair hasa kwa ataye chelewa kupata taarifa like wale ndugu zetu wasio na resources kama pc na walio killage. itakuwaje sasa? Ndio hapo mtu ana qualification nzuri ana...
aise mazee naona hilo jambo ni kwa kila mtu mazeeeeee maana hata mimi all are eligible except my first option ndio ime kuwa not eligible. But i think siyo gurantiee that utakuwa umechaguliwa huko may nitatizo la kiufundi au site iko down for maintanance au ndio wa upload selection! lets wait
nitafanya nini sasa, muhimbili competition kubwa cause mijitu mingiii plus tcu ndio mpangaji tena basi inanibidi ni kubali matokeo and take it as an investment cause si unajua tena udaktari una future nzuri, huo mshiko utarudi tuu and pia sikuna mkopo wa 2.6mil zakunipiga tafu, uzuri gharama...
nimepata habari zisizo rasmi kuwa selection zimeshatoka ila hazija uploadiwa kwenye mtandao bado! but pia nasikia zimebandikwa kwenye baadhi ya vyuo, so kama upo near ya vyuo ulivyo apply kacheki au kama una mtu wa karibu mtaarifu akuchekie. ila kwa hili sina uhakika kama ni kweli is just...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.