Search results

  1. E

    Natafuta wasambazaji wa mikate

    Natafuta wasambazaji wa mikate aina zote. Mikate ya Tshs 1000 utauziwa kwa Tshs 650 tu. Hii ni pamoja ya skonzi,kawaida,Toss na mingine. Tuko DAR wasiliana nasi kwenye no 0767609044
  2. E

    ****Ugonjwa hatari wa Nguruwe ****

    Guys huu ugonjwa wa Nguruwe unaua banda zima kwa siku moja nini kinga? Ukishatokea inabidi ufanyeje kurudi kwenye game? Wale Vitoto vinavyobaki vinafaa kuendelea kufugwa au vinakuwa tayari navyo vinamaambukizi? ?
  3. E

    Natafuta wateja wa mikate, keki maandazi kwa bei ya jumla

    Tunauza bei nafuu sana na bidhaa ina ubora wa hali ya juu sana! Jiongezee kidato kwa kuwa msambazaji wetu. Wasiliana nasi 0677010000
  4. E

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Guys huu ugonjwa wa Nguruwe unaua banda zima kwa siku moja nini kinga? Ukishatokea inabidi ufanyeje kurudi kwenye game? Wale Vitoto vinavyobaki vinafaa kuendelea kufugwa au vinakuwa tayari navyo vinamaambukizi? ?
  5. E

    Ugonjwa hatari wa Nguruwe Dar

    Wapendwa nimepigiwa simu na rafiki yangu ataniambia kuna ugonjwa wa kutetemeka ambao unaua sana nguruwe huko Tabata na Kinyerezi. Mwenye habari kamili na tafadhali atujuze hapa.
  6. E

    Natafuta soko la Mbaazi

    Nicheck kwenye 0677010000 tufanyeje biashara
  7. E

    NSSF Hatarini Kufirisika - CAG

    Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhan Dau hakupatikana kwa maelezo kuwa alikuwa kwenye mkutano mkoani Mbeya. Lakini Meneja Kiongozi Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume amesema mikopo kwa serikali imetolewa kwa uangalifu na inalipwa bila matatizo na kwa misingi ya kibiashara. “Mikataba ya...
  8. E

    NSSF Hatarini Kufirisika - CAG

    Kulingana na taarifa ya CAG, sehemu kubwa ya fedha za wanachama ambazo hazijarejeshwa, zilikopeshwa kwa serikali kwa ajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Katika chuo hiki, NSSF peke yake iliingiza Sh. 234.1 bilioni. Mifuko iliyosalia ilitoa jumla ya Sh. 181.3 bilioni. Katika...
  9. E

    NSSF Hatarini Kufirisika - CAG

    MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) uko hatarini kufilisika na kupoteza fedha za wanachama wake. Hii inatokana na serikali kushindwa kurejesha katika mfuko huu, mabilioni ya shilingi iliyokopa au kudhamini katika miradi mbalimbali. Kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...
  10. E

    Kwanini Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali ni wastaafu?

    Imezoeleka sana Bodi nyingi wakurugenzi wake ni Wastaafu. Sasa hii ni kwamba ndo wana sifa za kufanya hiyo kazi kuliko wengine? Ni kupeana Ulaji/Kubebana? Lazima Bodi ya wakurigenzi wawe wazee?
Back
Top Bottom