Kijana wa Vijana Mkoa wa Njombe kusema ya Moyoni tar 21 June Mkoani Njombe kuelekea uchaguzi Mkuu 2015.
Tayari Njombe Kusini inasadikiwa kuwa na Watia nia zaidi ya kumi (10) hadi sasa, wakati masonga akitajwa sana kuwa ni moja ya wagombea makini lakini hadi sasa hakuwahi kusikika akiweka wazi...
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA Ndg Emmanuel Masonga yasemekana ameamua kujitoa katika kinyang'anyiro cha Kugombea Ubunge wa Jimbo la Njombe Kusini, Taarifa zimeonekana kusambaa katika mitaa ya hapa mjini kuwa amejitoa, taarifa ambazo hazipata kuthibitisha sababu za kijana huyo...
Vile namfahama Emmanuel Masonga angekuwa ni kichaa kama Juliana Shonza angeweza kumuomba uchi ili atulie mana Shonza ukimtia tuu huwezi ona akikuponda katika mtandao hata siku moja sasa kijana Masonga mseminari hawezi ingia katika mtego wa kukutumliza kwa kukutimizia haja zako za kimapenzi huo...
Wazee wa Kigoma waliopangwa kuchafua uchaguzi wa CHADEMA kwa bahati mbaya wameshindwa kufika ndani ya muda wa kurudisha fomu kutokana na umbali wa safari ya kutoka Kigoma.
Wazee hao ambao waliandaliwa kutoa tamko la kupinga wazee waliotoka Kigoma na kumchulkulia fomu mheshimiwa Mbowe...
BARAZA LA VIJANA MKOA WA NJOMBE LIMEPINGA VIKALI TUHUMA ZINAZOENDELEA KUTOLEWA NA SERIKALI DHIDI YA CHADEMA KWA KUTUMIA VYOMBO VYA DOLA NA USALAMA WA TAIFA. AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA MKOA WA NJOMBE KWA NJIA YA SIMU kiongozi wa vijana WA CHADEMA MARA TU BAADA YA KUCHAGULIWA SIKU...
huyu nataka kukunwa kweli hapa mana sijui hao BAWACHA wa nini hapa Sasa ndio utajua ukweli mbaya sana siku zote CCM hujifanya wema kwa wananchi kumbe ndio zao mbwembwe zote dodoma kupiga kodi za watanzania na wanaofanya kazi watumishi hata mishahara yao hawapewi na Sitta anatangaza kuwa posho...
Clauds fm rasmi leo imetangaza rasmi kuwa ni radio ya ccm na sasa kuungana na radio uhuru na gazeti la uhuru kufanya kazi ya uenezi wa ccm. Akiongea katika kipindi cha power breakfast wanadai hawataangaza tena habari za ukawa. Hii ndio readi pekee inayojinadi kwa umbea na unafiki kama watu wasio...
kwa hiyo kama upo dodoma ndio unajua hata account za watumishi wa bunge kuwa wamelipwa? acha ujinga hapa kama ndio mhusika lipeni watumishi wenu haraka hapa porojo hakuna mana nyie mnagawana posho na kujitangaza na sitta wenu halafu wanaowahudumia hakuna mishahara jamani dats not fair
hahahaha kweli chagueni tena CCM jamani mana kama utii unazidi hivi hadi mishahara inagoma hadi leo tar 36 hahahaha kazi kweli fikisheni hadi tar 60 hao mabwege kweli
Hapa sasa naona kuna jambo mana kama watumishi wenyewe wanalalamikia mishahara je nini kinafichwa hapa? acheni ujinga na uongo jamani nyie mnakula posho ya laki tatu kwa siku theni watumishi zero dis is not fair mshahara ni haki ya m
fanyakazi bana
Watumishi hao wasikitishwa na kauli za kulopana posho kwa wabunge huku wao ambao ni wahudumu muhimu katika vikao hivyo kutolipwa mishahara hadi sasa.
Mmoja wao akizungumza hapa mjini dodoma katika sehemu moja ya kupata vinywaji anadai huu ni ujinga hasira zao kwa ukawa wanahamishia...
Baada ya kikao cha maridhiano kushindikana jana ccm imefanya mkakati wa kuvwahonga wajumbe kutoka ukawa ikiwa ni mbinu ya kudhoofisha nguvu na umoja ndani ya ukawa, mkakakti huo umefanyika na kutekelezwa na kiongozi mwandamizi wa ccm wakishirikiana na moja ya wajumbe ambao wapo nje ya ukawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.