ccm chaliiiiiiiiiiiii arusha kiboko yenu lema nyie hata jana kipindi anakwenda kusoma bajeti ya upande wa kambi rasmi ya upinzani bungeni matumbo yalikuwa yanawauma kwani lema hua hapindishi maneno,ongera lema kamanda wa ukweli maccm yanalala yanakuwaza,
kwani haya ambayo tundu lissu anayatetea inamaana hayawahusu albino kwani wao wanaishi nchi gani?na raia wa nchi gani kama sio taifa ili la tanganyika embu leteni hoja nyingine,taifa ili bado linaongozwa na mkoloni mweupe ccm angalieni india chama tawala chali mbaya kwa hiyo na ccm kiama chenu...
mleta mada acha ujinga yaani umekaa muda wote kuandika treat hii ya kipumbavu ,nenda ukawe katibu wake wa chama,chadema haikujengwa na zzk bali imejengwa na wanachama wenye dhamira ya kweli,hacha kushabikia ujinga ww
mleta mada acha ujinga ww unachokoza mada ili uweze kuandika upumbavu kumbuka kwamba chadenma ni taasisi, mtei kuonghea hivyo sio kwa sababu yy ni muasisi bali yy ni mshauri,ni kweli zzk hatakiwi ndani ya chama
kamati kuu ya chadema taifa baada ya kufanya maamuzi magumu ya kumvua uongozi zito ndani ya chama pamoja kitila ccm wao wamejigeuza chadema na kuandika mambo ya udaku ndani ya mitandao,mbona yenu mmeshindwa? Sera ya kujivua gamba mmeshindwa kuitekeleza,wenzenu wakifanya maamuzi magumu mnasema...
Tumeshuudia chama cha mapinduzi kimeishiwa fikra ndio maana kinashindwa kutoa uso wake kwa wananchi matokeo yake kauli za viongozi wengi wa ccm zinapingana na mwenyekiti wao mfano swala la katiba,na jana mwenyekiti wao kawapasha ukweli juu ya chama chao uko dodoma.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kata ya Usa river kimepata msiba baada aliyekuwa mjumbe mkutano mkuu wilaya Meru CHADEMA kutoka kata ya Usa river ndugu Privatus Mahabusi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Seliani baada ya kutapika damu ghafla.
Chanzo: Mwenyekiti...
Nimekuwa nikifuatilia kipindi cha tuongee asubuhi, mada isemayo, mchakato wa amani nchi za SADC.sasa Farijala anashindwa kujikita kwenye mada matokeo yake analeta ukada wa chama cha magamba na kusifia polis kwa kazi wanazofanya huu ni ukosefu wa kutojitambua kwani farijala anazidi kueneza chuki...
mnajiita chama cha mapinduzi,mlimpindua nani? Ccm ni sawa ukoo wa panya,baba mwizi,mama mwizi,hadi watoto wezi,kwa hiyo huyo anayesema amejiunga rasmi na ccm yy pia ni mwizi na vilevile ni mnafiki kwani vijana wenzetu tubadilike tuache unafiki.
ccm wanatapatapa,mbona wao green gurd wanao tena wanapiga watu lakini policccm wako kimya lakini kusikia chadema inawapeleka vijana wao kwenye mafunzo wameanza maneno,tunasema redbrgade tutaianzisha kwa nguvu zote,waanze kwanza kuifuta greengurd ndio waongee.
Magamba wameanza kupotosha kuhusiana na uchaguzi wa kata arusha kwamba umeairishwa uo Ni Uongo na ni propaganda taarifa ni kwamba uchaguzi uko palepale tarehe 30 msidanganyike wakazi wa arusha
watanzani acheni kutetea ujinga zama za zidumu fikra za mwenyekiti zimeisha mtu umekosea tunakuchana live pinda amekosea na kauli yake isiyo na mashiko na mm ninarudia ..pinda ni mpumbavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.