Pesa hii ni haki yao lakn mpaka sasa wanaanza mwezi wa pili makazini bila kulipwa pesa yao ya kujikim serikal inafikiria nn juu ya hili?? kwenye tangazo la ajira lilionesha matumaini kua pesa ipo na atakaechukua pesa ya kujikim na kuondoka atachukuliwa hatua kali.. lakn mpaka leo tar 17.6.2017...
hata mwanza is the same thing ndugu... walimu wana shida sana....... nn maana ya likizo na wanafunzi wenyewe ndo hao hata hawana mood ya kusoma ni kama wanalazimishwa tu kubaki shule wakt wa likizo
Ndg Wanajamvi kama nilivoandika hapo kwenye heading... Walimu wa ajira hzi za mwezi april znatufanya tunaishi kama njiwa ugenini mpaka muda huu kuna halmashauri hazijatoa pesa ya kujikim ikiwemo sengerema, misungwi, ukerewe, magu. Na sehem nyingne nying yaani kwa kifupi tunateseka hapo nmetaja...
Ndg Wanajamvi kama nilivoandika hapo kwenye heading... Walimu wa ajira hzi za mwezi april znatufanya tunaishi kama njiwa ugenini mpaka muda huu kuna halmashauri hazijatoa pesa ya kujikim ikiwemo sengerema, misungwi, ukerewe, magu. Na sehem nyingne nying yaani kwa kifupi tunateseka hapo nmetaja...
Habarini za kwenu wanajamvi.. ni matumaini yangu mu wazima wa buheri kabisa.... Naitwa Mwl. Victor Nyanda ni mwl mtarajiwa wa shule ya secondary nyampulukano iliyoko sengerema mkoa wa mwanza... sa naitaji kuijua kiundani zaid kwa mwenye uelewa juu ya shule hhii anipe mwang bhasi.. asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.