Kuna tofauti kubwa kati ya shirika la habari(mf.BBC,SABC,CCTV,REUTERS,KBC,UBC, CNN,AL JAZEERA,VOA,TBC nk)na kituo cha habari (mf.ITV.C10,CLOUDSTV,C2C,STARTV,EATV,nk).
Hivyo bac shirika litadili habar kubwa sana duniani na uchambuzi wake mf. Utakuta nusu saa nzima wanajadili habari 2 tu lakini...
Hakuna kitu km hcho. Tz 2na wataalam wakutosha tatzo 2mechanganya siasa na mambo ya msingi kwa hiyo hatuwez kuendelea ktk hali. Kikubwa 2waache wataalam wafanye kaz zao we utaona mafanikio yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.