Habari zenu wakuu,
Please naombeni msaada, nilijisajili ktka chuo amabacho sjapangiwa na TCU, so mkopo umeingizwa chuo nilichopangiwa na TCU amabcho sasa hiv nataka niende.
Je ! nitasajiliwa kwa kua nishasajiliwa na chuo kingine? au niende ku cancel nilipojisajili mwanzo ili wanisajili.
vp hali wana jf
mwenzenu nategemea kwenda kusoma course hii Bachelor of Arts in Geography and Environmental Studies katika chuo cha mwenge university collage of education ​kipo moshi... vp kwa course hii naweza kudeal na ishu gan? au kuajiriwa iddara gan?
habari zenu?
jamani naombeni ushauri
nimejaaliwa kufaulu kidato cha sita nakupata matokeo haya
Gs-'C'
Geography-C
English-B
Kiswahili-B
hv faculty gani nzuri ya kusomea na chuo kipi kzuri kwa Tanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.