ofisi zao ziko chama cha walimu ilala floor n0 8 lakini mimi sikufika ofisini kwao niliomba proforma wakanitumia kwanjia ya email a/c ya nmb niliwalipa pesa zao zote nikabaki nadai gari langu,waliandika miezi miwili gari kufika likawai kufika kabla ya uo muda na mimi nilikua safarini nikawapa id...
Jordex sio wasanii IST week tatu nilipewa kutoka JP ikiwa safi ndani na nje mpaka mum yangu alishangaa baba watoto alikua anaogopa pia watu kibao walishangaa sana muda mfupi nilikua barabaran, hivi juzi niliwaunganisha na rafiki yangu anataka OPA,uongozi wa Jordan lipeni JF tumewajua kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.