Katika ukomavu na uzalendo wa hali ya juu, Prof. Baregu kawajibu viongozi wa juu ya CHADEMA kile wasichokitarajia. Alitakiwa kujitoa tume ya marekebisho ya katiba Prof.akajibu.."if i have to choose between my country and my party I shall choose my country! "Sikubaliani na ushauri wenu wa...
Adai wanaganga njaa kwenye siasa.
> Asema wanalojua ni kung'oa kucha watu.
> Laana ya damu kwenye operesheni zao inawatafuna.
> Wanataka madaraka kwa gharama yeyote.
> Awataka wananchi kuwa macho nao.
Ameyasema hayo kweny mkutano mkubwa hadhara mjini Kilosa
Kwa hakika sasa si siri tena siku za gamba kubwa CCM Edward Ngoyaye Lowassa a.k.a Fisadi wa Richmonduli ndani ya CCM zinahesabika.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba kifikia tar 12/02/2013 Kamati Kuu ya CCM itakuwa imeundwa na baada ya kupata pigo kubwa kwa Makamu Mwenyekiti Mzee Mangula, Katibu...
Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!
Du!!!!! who is this young guy Nape, aliagiza serikali imtimue mkandarasi wa barabara ya Namtumbo/Tunduru kwasababu ya kasi yake mbovu ya ujenzi wa barabara hiyo... Itakumbukwa Nape alipofanya ziara mkoani Ruvuma alimwagiza Magufuli kumtimua mkandarasi huyo kwa hoja ya kuwa na speed isiyoridhisha...
WAKATOLIKI wana kiapo wanapomsimika mtu kwenye imani yao ya Ukatoliki. Kiapo hicho kinasema: Kumkataa shetani na mitego yake yote pamoja na vishawishi vyake vyote. Kiapo hicho kinasisitiza kumkataa mlaaniwa aliyemuasi Mwenyezi Mungu.
Inabidi kiapo hicho kitamkwe na mhusika kisha kioneshwe...
Kila mgogoro CDM umekuwa unahusishwa na CDM masalia kama wanavyowaita, wakiongozwa na ZZK.
Sasa mgogoro wa Karatu ni mkubwa zaidi, Je kuna mkono wa masalia humo? Au ni siasa za kibabe za babu ndio zinaiua CDM Karatu?
Nimeshangazwa sana na shutuma za Marando juu yangu binafsi, Mwakyembe na Mzee Samweli Sitta.. Shutuma hizi zimenukuliwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari likiwemo gazeti la TanzaniaDaima..alidai kabla ya kusema kuwa wengine wana kadi zaidi ya moja ya vyama tujiangalie. Sitawajibia kina...
"Kwanza tunajiendea kiutawala hatuna hata sheria inayozuia mtu kuwa na kadi za vyama vya siasa, mimi mwenyewe hapa nina kadi mbili kama Dk. Slaa, kadi yangu ya kwanza niliyoipata NCCR-Mageuzi nimeiweka kwenye ‘frame' kwa kumbukumbu ya wajukuu zangu, mbona hawasemi?" alihoji.
Maneno haya...
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafakari zogo kubwa na la ajabu linaloendelea ndani ya CHADEMA,ghafla nkakumbuka "OIL CHAFU ZA NAPE" oil chafu ikiwekwa kwenye injini lazima injini izimike ...alichowataadharisha Nape sasa injini imeanza kumis na soon itaungua na ndo italkuwa mwisho wa gari...
Tanzania ni miongoni mwa nchi tano zilizochaguliwa na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia, yaani Millenium Challenge Corporation (MCC) kwa ajili ya kupatiwa msaada wa fedha kwa awamu nyingine tena.
Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Wakurugenzi ya MCC katika kikao...
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha.
Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima...
Na Charles Charles
KUZUNGUKA huku na huko kwa CCM ni kutuiga sisi. Tumeanza muda mrefu baada tu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ndivyo anavyosema Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa.
Anaongeza kwamba Chadema ni mwalimu huku Chama Cha Mapinduzi...
January kawachana kina Lowassa,Membe na wengineo kuwa wote waliozaliwa kabla ya 1961 waachane na mawazo ya Urais maana watatupotezea muda ...tunahitaji rais wa dot.com atakayeendana na changamoto za leo
Naendelea kushangazwa na hoja zako juu ya uamuzi wa CCM wa kusimamia Ilani yake ya Uchaguzi. Lakini baada ya kusoma tamko lako la mwisho NIMEGUNDUA UELISHWA TANGO PORI JUU YA NINI KILITOKEA MWANZA, HIVYO SI KOSA LAKO SANA JAPO KAMA KIONGOZI KUWA MAKINI NA UNACHOLISHWA, ULINDE HESHIMA YAKO.
Ref...
HAYA NDIO MATEKEO YA KUKIMBIA SHULE.
* * * ***masikini CHADEMA**
Nimesoma kwa mshangao sana hoja ya John Mnyika juu ya uamuzi wa CCM kusimamia ilani yake ya uchaguzi ambayo licha ya kuchaguliwa kihalali na wananchi mwaka 2010, utekelezaji wake utaleta mabadiliko katika maisha ya kawaida ya...
Wakuu,
Nazitambua juhudi za wafuasi wa babu na mashabiki wake katika kujaribu kumtetea ionekane ni jambo la kawaida sana kwa Dr. W. Slaa kuwa na kadi ya CCM mpaka leo! Juhudi za kutumia social media na magazeti mengine hasa gazeti la M4C(TanzaniaDaima) kujaribu kumtetea Slaa na wakati huo...
Kuna watu wengi waliamini kuwa Arusha ni ngome imara sana ya CDM, wababe wa siasa dhidi ya upinzani nchini Abrahman Kinana na Nape Nnauye wataunguruma leo jijini Arusha...na kwa hakika mapokezi yao yametisha sana kwenye uwanja wa ndege wa Arusha..
**kivutio ilikuwa ni uwepo wa Edward Lowassa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.