Salaam wajuzi wa mambo.
Nimemaliza kidato cha nne, nina kiswahili C, English C, chemst D, biology C. mengine nimefeli yaani F.
Lakini natamani kuwa hakimu, naomba kuuliza kwa ufaulu huu naweza kusomea sheria niwe hakimu, na kunakuwaga na chuo cha mahakimu kweli, na sifa zakujiunga na chuo...
RecordPad Sound Recorder,
wakuu mwenye kuwa na reg key ya hii kitu hapo juu tafadhari.nimeshindwa kuinunua online maana sijui. mwenye kunisaidia tafadhari
WE PUMBV SAAAANA, iaka 37 unang, ang, ania kukaa kwa baba yako, miaka 37 bado unavizia ulithi. Si utafute vyako. Amekizaa, bado amekusomesha, na laki saba amekupa, bdo unataka ukae bure. Tubu kwa huyo babako pmbv wewe
Huwa siamini tuhuma nyingine juu ya huyu rais kipenzi chao waliomchagua. Imekuwa kawaida sana siku hizi watu wengi hapa tz yetu kudai magu kaleta hali ngumu kimaisha. Siku hizi, mimi nashindwa kuelewa kabisa, hii hali kuwa ngumu magu kaletaje.
Maana lidhiki ya mtu unayo wewe mwwnyewe...
Habari gani wajuvi wa mambo,
Nimekuwa najiulizakuhusu SURUALI hizi tunazovaa wanaume na siku hizi hata akina dada nao wanazivaa, japo haziwapendezi. Hizi suruali asili yake ni wapi hasa? Maana tukiangalia kwa uchunguzi wangu mdogo, tangia zamani za kale nguo ambazo zilikuwa zinavaliwa sana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.