Search results

  1. T

    MOI Wajiunga Tena na MGOMO

    Afya ya ulimboka sawa na afya ya wengine, tofauti ipo kwenye mchango wake katika tasnia ya afya amekuwa akipigania maslahi ya watu wote wa wizara ya afya hivyo utumwa wa ubinafsi ameushinda
  2. T

    Tamko la pamoja la viongozi wa dini kuhusu mgomo wa madaktari leo tarehe 07/07/2012, travertine hote

    Vyote atakubali lakini siyo kumlinda ulimboka utampigaje ntu halafu umlinde?
  3. T

    Godbless Lema ana ulinzi wa aina gani?

    Hofu ya maisha ya watanzania wenye upinzani wa wazi na watawala ni kubwa mno hasa baada ya Dr ulimboka kufanyiwa kitu cha ajabu. Moja ya watu wanaoipinga serikali waziwazi ni Godbles Lema, je huyu kiumbe analindwaje? Au kuna siku naye tutamsikia ametekwa na baadaye kuokotwa mabwe pande au ni...
  4. T

    Dr. Chitage: Mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya Toyata shangingi moja!

    Nimeipenda comment ya utamu wa shangingi ila kitufe cha like sijakiona
  5. T

    Mil. 90 Zinahitajika kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

    Asanye hobokela kwa jitihada na poleni na mgonjwa mwenyezi mungu atamsaidi.prezidaa wetu ana aleji ya watu wanaoitwa dokitors kumbuka alichokifanya kwa silaa kwenye uchaguzi
  6. T

    ACP Hemed Msangi...

    Sijaelewa nitarudi jf asubuhi maana na kasengreti kananiita hapa
  7. T

    Dr. Ulimboka Kutema Cheche

    Kichwa cha habari hakina shida isipokuwa kichwa chako
  8. T

    Nchi ipo ktk hali ya hatari, Rais kukutana na baraza la usalama la Taifa

    Hahahaaa isije ikawa kale katimu kakina ocampo kamem bip jeikeh sasa anatafuta majibu
  9. T

    DR.ULIMBOKA aachwe...

    Ni usalaama wa taifa si lazima tusubiri mungu awaadhibu kinachotakiwa ni kufanya maandalizi ya kupiga kura ipasavyo huko kila mtu ana nafasi ya kutoa adhabu
  10. T

    TRA kwa mtindo huu mtindo mtakusanya kweli kodi?

    Tembea na risiti uliyolipia achana na rd license
  11. T

    Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

    Asante kamanda Isack kwa kutuhabarisha kupitia picha safi sana na asante mungu, majaribu ya mungu ni mengi hata yesu aliuawa wakati alikuja kuwakomboa wanadamu
  12. T

    CHADEMA yavuruga ngome ya Lowassa Monduli

    Mwenzenu kule ujeremani aliambiwa asipewe habari za mshtuko jf jamani hizi habari za kuandika tunachotaka siyo mafisi wafe bali wabadilike jaman jaman ana mke na watoto na wajukuu na wakwe kama siyoi
  13. T

    Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Mbona watu wa mbeya wakiwagusa watawala wanaadhibiwa kuliko binadamu wengine? Dr Mwakyembe,profesor mwandosya? Uwiii
  14. T

    Arusha kwa sasa KWISHNEY!

    Nenda shule ikusaidie kuchangia maana analysis yako finyu mno au uliandika wakati unavuta chooni ?
  15. T

    Dr. Slaa aalikwa kwenye kongamano Ujerumani

    Zamani ilikuwa ukitukana mod anakupiga ban siku hizi hata ukitoa phumba kama huyu rungu laweza kukupata
  16. T

    Picha: Kashfa nzito "tegeta zoo", simba atafuna mtoto. Mmiliki bwana kusaga anataka kuifunika.

    Isiwe taabu wakati kesi inaendelea tuwarudishe simba mikumi
  17. T

    Tutashiriki mchakato wa katiba – Uamsho

    Kwa mwendo huu serikali ya tanganyika lazima ili tuwe na serikali 3
  18. T

    Waraka no. 1 wa mwaka 2012 wa Mbunge kwa Wananchi- “Ukweli ni Uhuru”- Mnyika

    Mnyika 1=100 magamba anayebisha ashike waya za umeme ajinyonge
  19. T

    SIMBACHAWENE: Sikufumaniwa

    Huyu kamanda bure kabisa tukio ni kweli limetokea ila siyo mheshimiwa unaposema hakuna tukio kama hili tumweleweje?
Back
Top Bottom