Afya ya ulimboka sawa na afya ya wengine, tofauti ipo kwenye mchango wake katika tasnia ya afya amekuwa akipigania maslahi ya watu wote wa wizara ya afya hivyo utumwa wa ubinafsi ameushinda
Hofu ya maisha ya watanzania wenye upinzani wa wazi na watawala ni kubwa mno hasa baada ya Dr ulimboka kufanyiwa kitu cha ajabu. Moja ya watu wanaoipinga serikali waziwazi ni Godbles Lema, je huyu kiumbe analindwaje? Au kuna siku naye tutamsikia ametekwa na baadaye kuokotwa mabwe pande au ni...
Asanye hobokela kwa jitihada na poleni na mgonjwa mwenyezi mungu atamsaidi.prezidaa wetu ana aleji ya watu wanaoitwa dokitors kumbuka alichokifanya kwa silaa kwenye uchaguzi
Ni usalaama wa taifa si lazima tusubiri mungu awaadhibu kinachotakiwa ni kufanya maandalizi ya kupiga kura ipasavyo huko kila mtu ana nafasi ya kutoa adhabu
Asante kamanda Isack kwa kutuhabarisha kupitia picha safi sana na asante mungu, majaribu ya mungu ni mengi hata yesu aliuawa wakati alikuja kuwakomboa wanadamu
Mwenzenu kule ujeremani aliambiwa asipewe habari za mshtuko jf jamani hizi habari za kuandika tunachotaka siyo mafisi wafe bali wabadilike jaman jaman ana mke na watoto na wajukuu na wakwe kama siyoi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.