Akae kimya yeye ila wengine tutaendelea kusema kwa kuwa taifa ni letu na si la watu wachache.
VYETI FEKI
BENI YUKO WAPI?
WAKUNA ROMA WAKO WAPI?
UTAWALA WA SHERIA.
Aaisee kaka ukweli hamna kabisa maana matumizi yamekuwa makali sana ukizingatia familia zetu za kusaidiana yaani umekuwa mtihani mkubwa, ila tokea nianze kuwanza hili nimeanza kuweka akiba mwaka huu january mpaka nimefikisha laki 9 tu
Habari za muda huu wana JF,
Mimi ni mwalimu wa shule za msingi, nimefanya kazi hii takribani miaka 7 sasa tangu 2009 hadi sasa. Pamoja na juhudi kubwa sana za kusaidia kizazi cha watanzania bado watanzania hasa watawala wameendelea kutudhalilisha walimu badala ya kutusaidia hasa kiuchumi...
aisee wakuu hata mimi niko hivo hivo sa mimi tatizo kubwa limekuwa kutopata hamu ya kupiga simu kwa watu na ndugu zangu mpaka niwe na shida nao na mara nyingi wananilaumu kuwa siwapigii simu, muda mwingi niko nyumbani nahisi kama ninatatizo; aisee wakuu tusaidieni.
sasa wakuu m
kuhusu maumbile vp sie wengine wafupi sana, sa inakuwaje? yukioa wafupi kama sisi si tutazaa mbili kimo? tunatamani wanawake warefu ili kubalansi kidogo.
Wawasalimu wana JF,
kwa watanzania wanaojua mambo kwa undani zaidi na wana mabadiliko halisi razima watakubaliana na mimi kuwa adui mkubwa wa maendeleo ya taifa letu ni CCM kwa sababu mara nyingi tumeona mtaji mkubwa wa hiki chama ni tabaka la ambao hawajafanikiwa kupata elimu inayostahili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.