Tarehe22/12/2016,
Asubuhi saa2, Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Humprey Polepole atakuwa Clouds Tv na Uhuru Fm akizungumzia mageuzi Makubwa Ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM).
Usikose.
Ni muda mrefu sasa toka uchaguzi mkuu upite mwanasiaasa huyu amekuwa haonekani hadharani. Ni nadra kumsikia akizungumza chochote na sana sana utasika wenzake wakimtaja kuwa John Mnyika NAYE amesema jambo fulani, kitu ambacho hakikuzoeleka kwa mwanasiasa huyu.
Je nini hasa kimemsibu mwanasiasa...
Katika kuwatakia wateja wake salamu za sikukuu kampuni hii ya simu mara kadhaa inashindwa kuwatakia wateja wake walio tofauti na dini ya KIISLAM heri ya sikukuu.
Sikukuu watakazoweza kuzitaja na kuwatakia heri ni zile za dini ya kiislam tu tena kwa kuzitaja na majina. Kama vile HAPPY MAULID...
Nitoe pongezi zangu kwa shirika la umeme Tanzania (Tanesco).
Pongezi hizi nazitoa kwa mabadiliko niliyoyaona ndani ya siku chache toka leo. Sifa na pongezi zinatokana na juhudi za kitengo cha mawasiliano ya umma (mahusiano) ambapo hapa JamiiForums "KOLEBA", na hata baada ya kupiga simu kueleza...
1. Habari zilizopo ni kuwa, vijana kupewa sare za CCM pamoja na kadi na kuzirudisha katika mkutano hapa Arusha
2. Wapiga debe kupewa mda mrefu zaidi wa kuongea kuliko mgombea Urais hapa Arusha
!
3. Nyumba za wageni zimejaa mpaka sasa Arusha
4. Magari yanayosomba watu kuwashushia mbali...
Kifo cha kusikitisha kimetokea Manzese Midizini, Shilingi 200 ikiwa ni sababu.
Mtu mmoja ameuawa kwa kuchomwa kisu maeneo ya shingoni, mashuhuda wameeleza kuwa kijana mmoja (marehemu) akiwa anafahamiana na mwenzake (muuaji) wakati ametoka shule/chuo alipita mahali walipo rafiki zake. Ndipo...
Siku moja baada ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu amesema sasa anageukia ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi.
Kingu alisema siku nyingi alikuwa na shauku ya kugombea ubunge katika jimbo hilo, kwamba kuondolewa katika...
Habari za majukumu wakuu, nina Samsung Galaxy Note 10.1,
1. toka jana (16 febr 2015) imeleta mistari inayocheza cheza na kama mawingu vile kwenye screen. Nimejaribu kufuta application zote na media files zote lakini bado hali ni ile ile
(jana nilijaribu kufuta adobe ikarudi normal...
Ningefurahi kuona wabunge wetu waliomaliza mafunzo ya "mfano" ya JKT wawepo katika gwaride za sherehe mbalimbali za kitaifa ambazo majeshi ya ulinzi na usalama yanahusika!
UZALENDO at the beginning stage!
CHUO KIKUU CHA TUMAINI (KURASIN) kilicho chini ya KANISA LA KILUTHERI baada ya kupiga marufuku suruali kwa wanachuo wa kike na baadhi ya mavazi kwa wanaume DEAN atengua rasmi katazo hilo...sasa SURUALI ni ruksa kwa akina "ke" na yeyote atakayemzua ama kuhoji mavazi hayo aelekezwe kwa DEAN...
Topetope au stafeli?
https://m.facebook.com/photo.php?fbid=349339301851876&id=265573826895091&set=a.265581016894372.64870.265573826895091&_rdr#349365355182604
Maji yatokayo mlima Meru ambayo hutumika kwa umwagiliji wa asili toka miaka na miaka yamezua mgogoro kati ya kata mbili (POLI na SING'ISI) Ambapo kata moja sasa imezuia maji yasiende kata nyingine kwani wao wapo juu hivyo kuwa na haki ya kuyatumia pekee.
Kamati ya maji kata ya poli pamoja na...
Msaada pliiz! Ipi kati ya hizi ina option nzuri! Hasa usomaji na upatikanaji wa vitabu mbalimbali kwa unafuu zaidi!
Nimekutana na mawazo yanayofanana kuwa product hizi zinafaa kwa VITABU ila ipi ni zaidi!
Natanguliza shukrani
Eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa
Eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa
Nawapongeza
msaada :
nikitaka kuzima computer STAND BY na HIBERNATE zipo faint huku RESTARTna TURN OFF zikionyesha zaweza fanya kazi lakini niki-click RESTART haikubali na niki-click TURN OFF mara nyingine inakubali mara nyingine haikubali
COMPAQ laptop
WINDOW XP
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.