kichwa kimestuck ghafla (no further intergration) kwa sababu nilikuwa natafakari ya kwamba huu WIZI na uhujumu uchumi utakwisha lini???? lakin tusilaumu sana kwa sababu tuliwaweka sisi wenyewe pasipo kuwajua!! remember that ""NO ONE CAN RIDE YOUR BACK UNLESS IT IS BENT"""
kunisomesha mimi bure isiwe chanzo cha kuninyanyasa na kunilipa ujira wa kijungu jiko, kwanza hatujawaomba mtusomeshe bure manake tungeweza kurejesha mkopo wenu huo kama wafanyavyo wengine!! wananchi wengi hawajaelewa kwamba madaktari wanapigania uwepo wa mazingira bora na vifaa bora ktk sekta...
ilipaswa manyanya athibitishe kauli hii, lakini kwa sababu spika/wenyeviti nao ni mrengo uleule hawajachukuliwa hatua yoyote!!!! ila wasisahau kwamba mwisho wa maambo yote u karibu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.