yah siwezi sema sikuumizwa niliumizwa sio kidogo, namm sipendi kufanya the same still hatujafika mbali but wala kueka komitment yoyote lakini namuona yuko namuonekano positive, niliingia nikadhani labda nikiwa nae karibu nitamzoea then nitampenda, but nisipokuwa nae nammis nikiwa nae karibu ooh...
i am not rushing to marriage but was wondering supoz he suggests about marrying me and then still sijamaccept will i learn kumpenda, i admit nilifanya kosa kuwanae ktk mahusiano koz i thot nikiwa nae karibu nitampenda kama baadhi ya watu wanavosema
blue g, ahsante but naona the guy is gud but my feelings is not there so huwa nasikia people wanalearn to love ndomana nikadhani i can do that, am rush into marriage.
its not kwamba kanambia anataka kunioa lakini ndivo navoona na mimi pia sitaki kurush kwenye marriage navomuona hana tatizo natamani nimpende but i think my mind inasay yes but immotionally no i mean my feelings ndomaana nimeuliza is it possible mtu kulearn to love? maana nasikia watu wakisema...
am a new here in jf. nambeni msaada wenu nimeingia kwenye relationship na mtu naedhani ananipenda but moyo wangu hauoneshi kumkubali najitahidi niwe nae karibu labda nitamuaccept lakini sioni dalili but napenda nimuaccept na nimkubali awe mume wangu lakini hata kumbusu kawaida naona shida, watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.