seeking 4 a commited girl should be born again christian, of 18 to 20 years taking or has diploma or degree of any business courses preferably from Dar es salaam colleges
Aisee ni kweli kwamba couple hizo zimekuwa adimu na hata kama zipo basi ni chache sana na sababu kubwa ni cultural differences(utofauti wa tamaduni)mfano dini, plus mitizamo potofu juu ya kundi jingine na wale ambao wameoana ni mfano mhindi ambaye kishahamia africa na kupoteza baadhi ya aspect...
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu...
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji...
Katika maisha ,hufika wakati ambapo m2 hutakiwa kuamua ni nani wa kuwa life partner wake. Kusema kweli inaweza kuonekana kama jambo jepesi,linalohitaji kutazama 2 na kuamua,lakini yale tuyaonayo kwa waliotutangulia ktk maish ya ndoa yamekuwa yakituvunja moyo. Na tukisema uchunguzi wa kina juu ya...
kama unasema we ulikuwa humpendi kwa nini ulitembea nae ,tena alikufuuata geto,kumbe ulumwonesha hata geto lako ,la zaidi una mchumba na unasema unampenda, chunga sana usije kosa vyote.
simjui mwanamke till now but im 24 years and graduate? but i some times tamani, i fear to seduce a girl since i hav no practical knowledge of love making.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.