Maafisa wote wa Polisi wenye cheo cha kamishna nawaomba muitishe kikao cha dharura, aitwe ACP Msangi mbele yenu atoe maelezo yake. Pia aitwe kamanda Kova atoe maelezo yake kuhusiana na huyo 'kichaa' kutoka kenya.
Baada ya hapo mtoe taarifa kwa umma kupitia msemaji wa jeshi la polisi ili...
If God wishes, I'll be honored to succeed JK in 2015, and will do all that's expected of a noble and diligent head of state, to change the history of our nation. God bless Tanzanians, God bless Africans!!
mweee......??!!
add: ' ....he is always attending each and every meeting abroad, leaving his government hospitals full shiit ..oops!....full of patients who in most cases 4 of them share one bed, but without medicine and equipments, and to top it all, no doctors coz they're currently on strike...
Nilipokuwa primary school, tanzania ilikuwa na mikoa 25 (bara 20, znz 5) na nchi ilikuwa moja tu, tanzania. Leo nchi zimekuwa 2, ila nchi moja znz, iko ndani ya nchi nyingine, tz. Znz ni semi-autonomous state, kwa maana kwamba sio sovereign state.
Hata hivyo wazanzibari wakipenda na kufanya...
Kwa jinsi hali inavyozidi kuwa tete mahospitalini kutokana na serikali kucheza vibaya kete yake, hadi kufikia Ijumaa baadhi ya wabunge wa CCM wataibua hoja ya Bunge kuingilia kati suala hilo na kujadili ripoti ya Kamati ya Bunge ya Afya.
Wameamua kuchukua uamuzi mgumu kwa maslahi ya walalahoi...
Ship Registrar, Admnistrator/Govt.Representative - Mr. Abdulla Mohammed Abdalla, popote alipo akamatwe na ahojiwe kwa nini alitoa kibali cha kusajili (re-flag) meli za mafuta za Iran na kuruhusu zipeperushe bendera ya taifa letu??!!??
Hivi huyuuu.... sio waziri wa nchi jirani ya zanzibar...
Ship Registrar, Admnistrator/Govt.Representative - Mr. Abdulla Mohammed Abdalla, popote alipo akamatwe na ahojiwe kwa nini alitoa kibali cha kusajili (re-flag) meli za mafuta za Iran na kuruhusu zipeperushe bendera ya taifa letu??!!??
Hivi huyuuu.... sio waziri wa nchi jirani ya zanzibar...
Pinda muislam??? By the way uki-google 'mahakama ya kadhi' unapata fulu data, hapo nchi jirani ya zanzibar wanaye kadhi mkuu, fuatilia mshahara wake analipwa na nani, na kwa nini serikali ya tanganyika inatia ngumu!!!
'hakika' na wewe ni mmoja wao, au uko karibu sana na msangi! na kama stori yako ni ya kweli, basi itabidi serikali 'sikivu' ya CCM ijipange upya.
connecting dots; inawezekana msangi naye amepewa 'ultimatum' na wakubwa wake, kama asipofanikiwa kummalizia dr ulimboka basi kichwa chake halali...
niliwahi kumuona kwenye tv bwana msangi kipindi kile bado akiwa o/c-cid pale o'bay, yuko makini sana katika kazi zake za upelelezi. Kama kweli kahusika kwa hili, atakuwa alipewa amri toka ngazi za juu, na kwa utaratibu wa kazi zao hawezi kumtaja aliyetoa order hiyo hadharani, labda IGP...
If this saga gets out of control, all Tanzanians will suffer a great deal.
May God bless our country, and all noble citizens of this beautiful land, once used 2b known as the heaven of peace!! 2gather as one, united we stand!!!
Get well soon, dr.& profesa wa ukweli, Uliii...mboka!!!
Kilicho dhaifu kwa Mungu ni dili, maana yeye hukiteua kilicho dhaifu ili kukiaibisha chenye nguvu, amen!
Imbaaa.....eeeh....mtoto...naaa...taka...tambaaaa....kwa hisani ya epiq nation...part of etsalat??!!
Huu mgomo wa madaktari ni kwa hisani ya serikali 'sikivu' ya CCM, 'party of the elite'!!!
Natoa wito kwa wabunge wenye uchungu na taifa hili, kuomba mwongozo wa spika wa kusitisha shughuli za kawaida za bunge ili kujadili mgomo wa madaktari. Hii ni njia muafaka ya kujaribu kutatua mgogoro unaoendelea baina ya serikali 'sikivu' ya CCM na madaktari. Najua hatua hii itapingwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.