Search results

  1. C

    Kwa nini mkeo akuibie pesa??

    Kwa mawazo yangu tabia ya mkeo kukuibia pesa inachangiwa na mambo yafuatayo; Kutokumshirikisha mkeo katika mipango yako ya Maendeleo Kuwa msiri kwa mkeo hasa kwa kipato unachopata katika mshahara wako kama wewe ni muajiriwa Kutokumpa mkeo majukumu hili litamfanya asijione kama na yeye ni...
  2. C

    Kwa wanawake walioolewa wanatoka nje ya ndo?

    Jambo kubwa hapa ni maadili aliyokulia mtu Lakini cha muhimu zaidi ni kumuogopa Mungu kwa kushika Amri zake
  3. C

    Yanga vs Atletico ngapi ngapi

    Wanayanga tusikate tamaa na kuanza kulaumiana tumpe kocha muda. Kesho tuchague uongozi wa kuanza kuijenga Yanga kwa kushirikiana na kocha
  4. C

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    Zifuatazo ni kero ambazo ningependwa zisemwe bungeni Wafanyakazi kutoka nje wasiokidhi viwango ukilinganisha na watanzania katika sekta ya madini Viongozi wa nchi kutibiwa au kufanyiwa uchunguzi wa afya nje ya nchi hata kwa magonjwa madogo badala ya kutibiwa na madaktari wetu
  5. C

    Hivi ananipenda kweli?

    Mahusiano yote ya Mapenzi kabla hamjaoana yamejaa asilimia kubwa ya uongo mwisho wa yote ni pale tu mnapofunga ndoa na kuishi pamoja ndipo ukweli wa kupendana unapodhihirika wazi.
  6. C

    Waliotumwa kumuua Dr. Ulimboka wapata PIGO Afrika Kusini

    Malipo ni hapa hapa Duniani,Haya yote yanasababishwa na Viongozi wetu kukosa Uzalendo kila wakati wanakuwa na wasi wasi na hali ya watanzania ilivyo hivi sasa kwani mawasiliano ya utandawazi Tanzania imekuwa kama kijiji.HUWEZI KUMDANGANYA MTANZANIA SASA HIVI KWA LOLOTE.TUMUOMBEE DR. ULIMBOKA...
  7. C

    Wasomi/viongozi wetu wa sasa hawana uzalendo

    Nasikitika sana kwa wasomi wetu wa Tanzania kukosa Uzalendo nikiwa kama mlipa kodi kwa kila mwezi.Mimi nafikiri mfumo wetu wa elimu kwa sasa hivi sio mzuri kwani serikali haiwajibiki kwa wananchi wake kuwapatia elimu ya bure kama ilivyokuwa zamani.Nakumbuka wakati nasoma tangu usafiri wa kwenda...
Back
Top Bottom