Kama umemgombeza umeharibu, muache atulie ongea nae vizuri akumbuke aliyoweka. Tulia kubali ni mjanja zaidi yako, na atakusaidia. Kelele zingine zinaogopesha watoto na kuwanyima kuwa wao.
Huyo usimpe nafasi ya kuwa karibu nawe, mtupe na kijiti chake. Pia fahamu sasa kuna kitu anajua kwako ndicho anapata, (sio mapenzi) baadae ataendelea na atakueleza kwamba uliyafahamu yake kabla ya ndoa. Ila haujitambui wewe, unashangaza!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.