nilikuwa na mpango wa kutafuta kimoja mwezi February hadi nikakata tamaa, nilikutana na vikuukuu sana kwa 8m! nimeshangaa hichi kina 27,100km na bima juu... Sina tu hiyo amount kwa sasa mkuu Oyaoya lakini nina imani wadau watakichangamkia humu...
Acha jazba, weka facts tukuelewe. Haijasajiliwa na nani, tamko hilo limetolewa lini na nani. Maana zimezagaa kila kona km njugu, had sisi tulikuwa tunapewa kambini.
Mkuu Skills4ever sina hakika na hiyo ya upande mwingine, sijawahi kuifanyia kazi, namuomba MUNGU isintokee tho mh...!!! Any way ts a home work mkuu ntaidadisi zaid...thanx kwa nyongeza ya pekee
Mkuu nayachukua uliyoniambia. Sijawahi kuhisi kama ana bwana nje kwa kuwa mazingira tunayoishi yako tight kidogo na mara nyingi yuko nyumbani na ndugu na jamaa licha ya kuwa nna uwezo wa kuaccess hata simu yake bila ya yeye kujua na sijakuta hata sms yake or call yenye shaka. Hapo ndipo...
Wakuu,
Nilimuoa April 2011. Kabla ya hapo tulikuwa na uhusiano kama mwaka m, alikuwa ni virgin na hakutaka kushiriki tendo la ndoa hadi tulipooana, ni mzanzibar ana maadili ya dini kiasi. Kwao kawaida, baba ni mstaafu wa jeshi na mama ni mama wa nymbani, anjishughulisha na biashara ndogondogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.