Tatizo lake ame-generalize kinachotokea Uarabuni, DRR na Sudani ya Kusini kwasasa hamna uhusiano na Mafundisho ya dini, Mafundisho ya Dini iitwayo ya mnyaaaazi Mungu yamezaa vitu kama Alqaed, Alshabab, Boko haramu nakadhalika.
Ok labda hapo nimechemsha, ehee unajua Alishabab ni waislam? unajua kwamba pale Westgate kwa mtu aliyehojiwa vizuri nakuonekana ni Muislam alinusurika? Hivi unaweza kunikumbusha ni nini maana ya neno Alshabab?
Kwani mimi nimekuambia naunga Mkono mauaji ya Drones? tatizo lenu sijui humo Miswikitini mnamezeshwa sumu gani, mimi siungi mkono mauaji ya Drones ila nimejikita kwenye huuu ushenzi wa Mauaji yanayofanywa na washenzi fulani waliodanganywa kwamba wafanye hivyo maana Mnyaazi Mungu atawabariki. Na...
Usinishawishi nirudi kwenye Topic wakati wewe upo nje ya Topic ndiyo haya haya nimetoka kuyaandika mda si mrefu kwamba unafundisha hiki Mswikitin alafu wewe huonyeshi kwa vitendo, unafundisha vijana wajitoe mhanga wakati wewe unajiwekea mipango yako ya maisha ya baadaye na familia yako, hebu...
Na fursa pekee ya kueleweshwa ni hii hapa Jamvini ili kama unanipotosha kila mtu aone na aku-challenge nijuavyo mimi watu wengi wamekuwa wanapotoshwa kwenye vinyumba uchwara vya ibada ibada za kishetani mpaka inafika mahala vijana wanaamini na wanafikia hatua ya kujitoa Mhanga kupigania hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.