Habari za jioni wana jf.naomba msaada wenu wa mawazo kuhusu kozi ninayosoma ya account hofu yangu ni kwamba naweza naweza kupata ajira kwa ngazi ya cheti?.natarajia majibu mazuri kutoka kwenu kwani naamini wengi tulio hapa tuna busara.AHSANTE
Nashkuru sana king kong ila nimesha google mara kibao link zikija nadownload adi 100% nikija kuangalia baada ya kukamilika nakuta ni empty ni kichwa cha habari pekee ndo kipo.
Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa wote mliopitia uzi huu na wote watakaotoa msaada ahsanteni.naomba yeyote mwenye link za kuweza ku-download katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania.najua jf ni jukwaa la wastaarabu nategemea majibu mazuri.naomba kuwasilisha
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana jumatatu vipeperushi vya kugomea sensa vimesambazwa maeneo yote ya moshi mjini kila anayejulikana kwamba ni muislamu anapewa na kuambiwa akimaliza kusoma ampe muislamu mwenzake cha kushangaza ni kwamba wanazungumzia kugomea sensa ya watu na makazi...
Hovyo sijui umeingiaje umu kichwa hakifikirii kabisa na ukifikiri unawaza ujingaujinga tu jitu zima kichwa box mbona mim hizo habar nilizijua kwenye vyombo vya IPP? Na usipende kulinganisha kazi za miguu na mikono swala la ajali si uvunjifu wa aman bali kuchoma kanisa inaweza kuleta madhara...
Jaribu hii mkuu kutokana na mtaji wako bado ni mdogo na bado haujakomaa kibiashara(uzoefu) unaweza kufanya biashara ya mahindi kutoa vijijin na kwenda kuuza maeneo ambayo bei ni kubwa,au mayai unanunua kwa jumla kijijin na upeleke mjin au matunda ni ww tu kuangalia ipi inalipa haraka ila...
Demokrasia inaminywa sana na hawa wabunge wanaotetea maslahi ya chama (ccm) kwa mfano walipomnyima mnyika kutoa sababu za kumkashfu mh rais wa jmt wangemuacha aeleze pengine asingetolewa nje ata hivyo nataka kumuuliza ndugai komba alivyosema cdm ni vichaa na hakuchukuliwa hatua yeyote kwa maana...
Six battan-alikuwa na vidole sita mkononi
Bi. Account-wa bk
gari la spaa-wa nidhamu
bwana pepsi-headmaster
mabala-wa englsh
msumari-alikuwa mrefu afu ana upara
vodafasta-alikuwa anakazana mbya wakat akitembea
compass-alikuwa anafundisha math but haeleweki unachoskia na compass
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.