Akizungumza leo akiwa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt John Pima amesema:
One of big investments ambazo Serikali imefanya kwenye jiji letu la Arusha kupitia mapato ya ndani ni kujenga hospitali kubwa. Tunaanza sasa kitu kinachoitwa medical tourism.
Tutajenga...
I happened to conduct an investigation into the country's state of food security. fortunately or unfortunately I was unable to publish such findings but a medium of communication such as JamiiForum help us connect with the rest of the world. I will post such findings here for anyone to read...
CLIMATE-change induced floods causes an estimate of Us$2billion in damage yet killing hundreds every year and without a massive investment in solid waste management it is expected to get even worse.
0 Comments
A report published by Nature Climate Change last August claims that flood damages for...
Baada ya Maamuzi ya Serikali Kuhamia Dodoma, Domalyn Classic Salon wameingia Dodoma baada ya kutoa huduma Dar es Salaam. Akina dada na akina baba wanaohitaji kujiweka safi kuonekana vyema kunako ngozi na nywele tembelea saloni ya Domalyn Classic Salon iko Mkabara na Ofisi za TRA makao Makuu...
Nimshukuru mleta mada, kwani ina hasi na chanya.
Niongezee kwa hoja ya AVEROES kwanza kurusha mwanga kidogo kwa uzalishaji wa hii NAPTHA. NAPTHA huzalishwa kwa wingi kutokana na usafishaji mafuta ghafi (crude oil) ambapo, crude oil hutiwa ktk kinu cha moto au joto kali inayopelekea kuzalisha...
Huu uongo umegraduate Chuo kikuu. Haiwezekani mtu mzima na ndevu zako ukaanzishe mahusiano na katoto kenye 15yrs. Hapa inabidi tukupeleke Tamwa ama tgnp naikibidi high court kwa kosa la ubakaji.
Ndugu umejitahidi kufafanua lakini hujakumbuka kuwa hoja aliyokuwa anajenga Mh Wenje ni juu ya usiri mkubwa wa baadhi ya vyama vya kisiasa juu ya misaada inayopewa kutoka nje ...nahii ndo hoja ya msingi ambayo wengi wetu hatukuisikia kwa kuwa tumeinyima nafasi kwa kushadadia kipengere cha ndoa...
Duh nadhani Wenje anapoint chamsingi CUF wakanushe tu kama mlengo wao sio wa kiliberal ndo jamaa ataomba msamaha vinginevyo busara za babu ngoswe zinahusika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.