Halotel katika huduma,wapo vizuri sana kuliko mitandao mingine nathubutu kusema hvo its a month now nawatumia na cjajuta..pia nawashukuru wamejichanganya dakika zng za promo had leo hazjaisha so natwanga free...tatzo naona lpo kwao kiutendaj na wafanyakaz wao mana gal wang n mwajiriwa n 2 b...
Mkuu kuna v2 viwili,cha kwanza ni God's promise ambapo hapa katika ahadi Mungu huweza ibadilisha au kuna vitu vinaweza badili ahadi ya Mungu tazama wana wa Israel na nchi ya ahadi walishndwa kufika kwa maovu yao,,pili kuna God's oath,hapa ktk kiapo cha Mungu simama kaa Mungu akiapa lazima iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.