Nimemsikia Mbunge wa jimbo la Sengerema Tabasam Hamis Mwagao, akilia Kwa nini kampuni ya Global Fluids International (GFI) inayohusika na vinasaba vya mafuta imekuwa ikilipwa mabilioni ya pesa kwa muda wa miaka 6.
Mimi kinachonishangaza anamsifu waziri Kalemani na wakati wote huo wa miaka 6 GFI...
Wanajamvi, baada ya kufikiria na kuchambua sana sasa nakiri kuwa nimemuelewa Mhe Magufuli.
Kwanza nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kutokana na hotuba zake ambazo amekuwa akilalamika kila mara kuhusu hali mbaya ya uchumi na utendaji kazi nchini alipoikuta baada ya kuchaguliwa kuwa Rais...
Katika mkutano wa Powering Africa utakaofanyika 28/01/2015 huko Washington waziri dilali Muhongo ni mmojawapo wa speaker.....nadhani Mkulu naye anaenda
Jamani Miafrica kwa kuamini uchawi loooooooo
Witchcraft murder: Couple jailed for Kristy Bamu killing
Eric Bikubi and Magalie Bamu were convicted of murdering Bamu's 15-year-old brother Kristy
Continue reading the main story
A couple who tortured and murdered a 15-year-old boy they accused...
Ndugu zangu wa JF na wa TZ kwa ujumla, tumeliwa kwenye viwanda vyetu alivyotujengea baba wa taifa JKN. Tumeibiwa katika rasilimali yetu ya dhahabu tunaendelea kuibiwa na rasilimali yetu ya bandari.
Sasa Mwenyezi Mungu katuletea natural gas ambayo wana wa vyuoni na akina IMF wanadai huwenda...
Leo hebu tujikumbushe, kwa wale ambao mlikuwepo enzi hizo za wabunge wakiitwa ndugu.
Hawa wabunge walikuwa wakivaa zile shati za Chuo en Lai ama Kaunda suit.
Wabunge hawa muda mwingi walikuwa majimboni, mara tunakutana nao kwenye vilabu vya kunywa ulazi na mara tunakutana nao bar wakiteremsha...
No magic solution to crisis - Mkulo
By The guardian reporter 19th March 2011
Says current hardships externally induced
There are no plans to reduce taxes on oil to...
JAmani wana JF nahitaji msaada toka kwenu kuhusu, Je kama nataka kujenga nyumba kadhaa na kuuza natakiwa kuwa mmiliki wa ardhi hiyo?
Je wizara ya ardhi au manispaa zimetenga sehemu yaani maeneo kwa ajili wa ujenzi wa nyumba nyingi?
Wana JF najua humu ndani kuna mchanganyiko wa kila mbongo wenye sifa tofauti.
Nimekaa kwa muda mrefu na imenikera sana suala la umeme. Sasa nimefikiria kwa vile serikali inaonekana haiko tayari kabisa kuanzisha mradi wa stiegler's ambao unaweza ukatosheleza umeme tanzania nzima....nimekuja na...
YouTube - French police accused over migrant eviction
Inasikitisha sana jinsi police walivyo handle hii issue....je ingekuwa hawo watu ni wazungu wangefanyiwa hivi?...angalia watoto wanvyoburuzwa.....hawa wazungu kwetu tunawapa heshima sana......
Wananchi wengi walikuwa wakisubiri kwa hamu nini kitaamuliwa huko kwenye kikao cha NEC.......Sasa nawaleteeni kwa mtizamo wangu nini haswa kilipangwa huko.....
(a)Mkapa asafishwe
(b)Msafisheni Lowassa na Karamagi
(c)Zimisha EPA na RICMONDULI na kwa kiburi
Bado tumangojea...
Tatizo la MALARIA ni sugu sana kwetu lakini cha ajabu ni huy kijana ndio ameleta mwamko katika ulimwengu na sisi bado tunapiga gumzo vijiweni wasomi wetu mko wapi
http://malariaengage.zazengo.com/
Karamagi hana ujanja!
2008-04-25 19:03:10
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Baada ya kuhusishwa katika mazali kadhaa ya mikataba tata likiwemo lile la kusaini mkataba baina ya Serikali na mwekezaji wa mgodi wa Buzwagi, na lile la Richmond, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Bwana Mustafa...
Stoltenberg confronts problems in Africa
Prime Minister Jens Stoltenberg was greeted by a cannon salute and waving Norwegian flags when he arrived in Tanzania on Monday, but plenty of problems lay lurking below the festive surface.
Tanzania is one of the lands that have receive most aid...
Baada ya kusoma hili gazeti nina wasiwasi ya kuwa Mzee Pinda na Mkulu Shein (the only clean people in Chama Cha Makulaji)wanatumiwa ku spin ile scandal ya chenge wanatuletea EPA....ama kweli wajinga waliwao
JJamani kweli port yetu ni uwozo naomba wabongo pale U.K mkiweza mwulizeni huyo Mhe ana mpango gani kuhusu port yetu ya Dar.(nasikia mnakutana naye 18th aprill)
Nilipeleka mzigo ili kuanzisha mradi nyumbani na hapa napoishi wakazi wengi ni wa Zaire na Wa Rwanda na walinishauri nisitumie...
Ndugu zangu wana JF, nawaombeni tusingoje serikali yetu imrudishe Balali. Na inawezekana wasifanye hivyo.
Naomba tuamzishe kampeni ya kumrudisha huyu mfisadi Bongo ili aweze kutoa nyaraka zote alizonazo.
Mawazo kwa Kampeni:
Kama mjuavyo, waandishi wetu wa magazeti Bongo ni wachanga, hivyo basi...
I am not against maendeleo yetu wabongo or globalization...nategemaea Marrybrown itatuletea ajira akina sisi walala hoi.
Swali langu kwa watu wa jikoni ni je ni kweli kuna ka 10% hapa kwa ndugu yaetu fisadi Mramba&Co au ni just rumours za wapika majungu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.