Kufa anaweza yeyote lakini kwa kawaida shida inakuaga akianza mwanaume ndugu wa mume wanaleta shida sana kunyang'anya mali so ni vizuri wote mume na mke kuweka mambo sawa sikuzote.
Inakera pale mtu anapokuja na shida anakuomba hela with a promice ntakupa after three days afu anauchuna hasemi kitu after those days anakua anakupiga fix tu. Mbaya zaidi anakuzungusha mpaka unakata tamaa. kulipa deni kunakupunguzia aibu tukikopa tulipe
kaka yangu ni player kwa kutupwa wifi akisafiri anateta wanawake hadi ndani, mkewe ana nyodo sana anajifanya mjuaji anadharau na hapendi kuongea. Mungu anisamehe sometimes nataman kumwambia uplayer wa mumewe but nahisi ntavunja ndoa yao ingawa roho nyingine inaniambia yeye si anajiona matawi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.