Beira Boy,
Basi tushinikize Katiba ya nchi yetu na ya CCM vibadilishwe ili aendelee kuisaidia nchi hii. Hasa ukizingatia kuwa yeye, Rais wetu ni msikivu na zaidi ya yote ANAIPENDA SANA TANZANIA NA WATU WAKE.
Sababu kubwa ni kwamba watu matapeli, na manabii, mitume na wachungaji wengi wa uongo wameziona fursa na kuzitumia kwa vile " watu wangu wanaangamia /wanaangamizwa kwa kukosa maarifa". Maarifa ya neno la Mungu kama lilivyo katika Biblia na hususan katika AGANO JIPYA ambalo ndilo letu sisi...
Yaaah nadhani kuna utani some where kwenye hizi Mahakama zetu. Serikali lazima itakata rufaa on this, vinginevyo sijui tunakwenda wapi kwenye haya mapambano dhidi ya rushwa na wizi wa mali/fedha za umma.
Manengelo na wenzako wengi humu JF inaonekana hamkiamini kilimo kabIsa kama kinaweza kuwatoa Watanzania na nchi kwa ujumla kwenye umaskini! Kwa nini hivi jamani? Juzi nilimsikia Profesa mmoja akisema aningia kwenye biashara ya kilimo, kikamilifu, totally. Sijui sisi Watanzania wa leo NANI...
Ni kweli kwani nyumba za kupangisha kwa watu wa kawaida zinahitaji mbwembwe sana. Vifaa vya ujenzi ni hivi vya kisasa vya kawaida ambavyo ukienda viwandani unapata kwa bei za jumla kabisa na hivyo kuokoa fedha badala ya kununua kwa walanguzi madukani. Na siku hizi za ushindani yote yanawezekana.
Hebu kwanza muulize Waziri Jaffo! Any way hii ni njia ya kutumia "nguvu kazi" iliyo karibu nawe, yaani tafuta mafundi wachache wazuri, wawe na vibarua wao wazuri na UFANYE SUPERVISION WEWE MWENYEWE hasa kwenye UNUNUZI WA VIFAA. Kwani hapo ndio tunapo umiziwa zaidi na mafundi. Nunua vifaa...
Sawa kwa 30mi/= unaweza kujenga nyumba moja au mbili hapa Dar kama una kiwanja/viwanja. Hilo utaweza ukitumia "force account", UNAIJUA? Na itategemea uko Dar ipi anyway.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.