wanafanya ivyo il kuwapunguzia majukumu. Hauon m2 kaombw cm 2 kaona anapigwa mzinga sa angeambiwa agharamikie vyote si angetoka mbio na visiki angepita kujikwaa
mara nying kweny uo mchezo mwanaume ndo anapata raha na hamutamaliza mpk ahakikishe ameipata raha, na weng wa wanawake hawapat iyo raha. Ili kubalance angalau kidogo inabid kumpa moyo kw kumuhudumia.
Hawafanyi ivyo sababu nao wanachoka na kazi za kazin km wanavyochoka wanaume. Afu pia hawez fanya kaz zote sababu anamsadia mwanaume kutimiza wajibu wake( kulisha familia).
We umeyataka mwenyw, bint kakuaambia mpka uwe n barua y baloz wa nyumba kumi, afu na we unaulza yup? Ina mana haumjui baloz wa nyumba 10. Umeyataka ayo
cku iz m2 akilizika na tabia na yule amtakae bc imekuwa tosha sababu ndo anaeenda kaa nae, hajali haw wengine wakoje, ila n vzur kujua angalau kiunagaubaga 2 kuhs familia ucka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.