Kiasi cha milioni 700 kimetengwa kwa ajili ya uhamisho wa wafanyakazi mwezi july ikiwa wanachama hatupati dawa tukienda hospitali. Mkurugenzi wao anahamisha wafanyakazi kila mwaka ili kuficha ufisadi unaotendeka. Kuna tetesi wafanyakazi wanakusanya data ili wamlipue kama mama nyoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.