I wondered the same! Atapigaje kura wakati hana uraia wa Marekani. Otherwise kama kura yake ni automatic just because he's Obama's half brother and Hamas die hard fanatic.
Nenda katika ofisi ya serikali za mitaa eneo unaloishi. Omba barua ya kukutambulisha benki ili uweze kufungua acount. Uwe na picha (Passport size) zenye zenye background nyeupe. Peleka barua kwenye tawi la bank lililo karibu na wewe. Uwe na kitambulisho (kupigia kura,Leseni au Passport).
Hizi ni kauli za UCHOCHEZI na UVUNJAJI WA SHERIA. UKiitwa sasa hivi kutolea maelezo haya maandiko yako hapa kuhusu Usalama wa Rais utaweza kutoa Ushahidi pasipo na shaka!?
Ukiona mtu ameingia kwenye security bubble ya Mh Rais ujue keshafanyiwa upembuzi yakinifu na watu wenye kazi zao. Usifikiri amesimama pale bahati mbaya.
Kutoa taarifa kamili za Muhalifu inasaidia kuweka takwimu za kiusalama na taarifa muhimu za matukio. Kwa hiyo binafsi sijaona kosa hapo. Kuna watanzania wanakamatwa na dawa za kulevya au Uhalifu nchi za watu na hutajwa Utaifa wao. Mara kadhaa kuna majambazi yanakamatwa au kuuwawa na vyombo...
Ni vyema ungetambua majukumu ya Aide - De - Camp ndio uwe na mantiki ya kukosoa utendaji wake. Kwa kukusaidia tu huyo bwana hahusiki na Usalama wa Mheshimiwa Rais.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.