Dakt Benson Bana afafanua zaidi kuwa adhabu ya vikao vitano walivyopewa wabunge Wa CHADEMA kutohudhuria vikao Vya bunge ni ndogo,eti walistahili miezi 3
Kikubwa ni kuwa huyu ni muhadhiri Wa chuo kikuu nchini NA mchambuzi Wa siasa mkubwa nchini.
Bungeni yametokea mambo makubwa Peter serukamba...
Ndugu wanajamiiforum Kama Kweli W.L level yake ya sukari imefikia either 15mmol/l au 17mmol/l madhara yafuatayo yaweza mpata wakati wowote
1.DKA(diabetic ketoacidosis)ambapo anaweza pata madhara ya kupoteza faham atimaye kuharibu ubongo Na hata kifo within short time.
2.shindikizo la damu...
Amani ni nzuri ila ni Eli umasikin wa Mali kuliko umaskini wa akili.,,CCM wanafikiri wa TZ ni wajinga,,malipo ya dhambi yetote uanzia hapahapa duniani,wa TZ tuwahukum hawa mafisadi 2015 na hiyo Ndo power tuliobaki nayo tu
Ndugu zangu inasikitisha sana mwenyekiti wa CCM taifa anawambia wajumbe waondoke lkn wakijua lengo Lao ni USHINDI 2015,
Imeniuma kwani watanzania sasa hawajuhi hatma ya maisha Yao mfumuko wa bei,maisha magumu sana hata hatujuhi hiyo 2015 Kama watu watafika
Ni muhim m/kit kutatua Kero za...
Eti niliona swali la kipima joto juzi ITV kwamba kuongezeka kwa mauaji katika mikutano ya vyama vya siasa ni kukua kwa demokrasia nchini???
Kweli jamani mtu anayetengeneza au kuhariri mada hizi ana uwezo wa kufikiria???ushauri wangu wachunguze mada zao kabla hazijaluka hewani
Kaka ulitala nini wewe?? Hata ajali hii meli imenuliwa na akina dhaifu, wakati marekani wenyewe waligoma,,ye si anapenda kutuchikulia vitu feki na ndiyo yotef
NDUGU wana jf Leo mida ya saa tano asubuhi wanafunzi wa udaktari kutoka Muhimbili wa mwaka wa nne tulikuwa tunaenda wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kufuatilia pesa ya elective studies,Kwa sababu pesa iliyoletwa chuoni ilikuwa pungufu,na tulikwenda wizarani wiki iliyopita tukuambiwa turudi...
Sio uamuzi sahihi kufukuza madaktari,,tatizo hatuna vingozi makiin,,,kwani Ndo tatizo limekwisha?????
Wagonjwa waataumia sana Kwa mtindo huu,mi nawashauri madaktari waachieni hospital yao watbu wenyewe mi serikali hii inanikra sana
We ni mjinga na huna akil sikushangai, unafikiri wewe una akil gani kumzidi daktari yoyote,,Ndo walewale uwezo mdogo kuongoza mkubwa??? Ujawaona waliokukwapulia mabilioni unadai dawa kweli wewe kichwa cha kuku akibebi mzigooo....bebaa boksi za dawa utinze kwako
Ni kweli Serikali ni dhaifu jamani duu!!!!we angalia alichojibu waziri mkuu Leo Mwenye kipindi cha maswali na majibu kuhusu mgomo wa madaktari 23/6/12..serikali hii ni dhaifu kupita kiasi ndugu zangu...ngoja tucheki hiyo mahakama ya Kazi wanayoitegemea magamba Mwenye mgomo ujao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.