dr.ulimboka sema ukweli kuficha mambo kutakuletea matatizo kumbuka mwakyembe alificha mambo walichomfanyia ni kumuua taratibu.....ukweli ndio pona yako
kwa nini mtu akishapewa madaraka hataki kutoka kuachia na wengine....nadhani ni wakati wa sophia kumpa mtu mwingine nae tuone ataongoza vipi hii jumuiya
ninaunga mkono hoja ni kwa usalama wetu na taifa kwa ujumla na sio tanzania tu china kupanda tren lazima passiport au kitambulisho kwa wachina, italy popote unapoenda lazima uwe na passiport au permit kwa sababu muda wowote na mahali popote askari anaweza kukusimasha na akahitaji kuviona hivyo vitu
tusitegemehe sana mambo makubwa hakuna kamati ambayo iliundwa ccm ikatimiza haja za watanzania labda ya mwakyembe kidogo na yenyewe kuna mambo ilificha mpaka leo hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.