Wana JF,
Nikiwa nimesomea Uhandisi ujenzi wa barabara ingawa sipo kwenye ujenzi tena, nimelipokea kwa furaha sana tangazo la serikali kuwa hatimaye wanahamishia DODOMA Makao Makuu ya taifa la Tanzania ambayo ni zaidi ya miaka 40 tangu tutangaze kuhamishia huko.
Naiomba tu Serikali yetu ya...
Dahh, Wakenya ni hatari sana.
Yaani Mbaba ameamua kuvulia kwenye tenga. Na mbaya zaidi huyo Samaki ni Mtoto wake.
Inatia Kinyaa pale Samaki anapoanza kusema "I Love my Father so much...."
Ila huyu Samaki nisingelitaka kukutana naye maana anabamiza kama Zena kwenye gazeti la Sani. Kama huamini...
Nina rafiki yangu ambaye amekuwa akilalamika kwa miaka mingi kuuliwa kwa Wakala wa meli Tanzania yaani National Shipping Agency Company au NASACO.
Ukimsikiliza Mkinga kwenye hizi Video, unakubaliana kabisa kuwa Mkapa na wenzake waliiuwa NASACO ili waanze kuiba pale vizuri. Wizi huu unaofanyika...
Matusi na khashfa alizorusha Iringa leo, lazima Wana Sheria wa Chadema wampeleke Mahakamani.
Maadamu hizi kashfa zimetolewa kwenye Jimbo la Msigwa, basi huu ni ushahidi wa kwanza kabisa mahakamani mwezi wa 11 kama Msigwa atashindwa. Msigwa hii video lazima uirekodi na wewe na kuiandaa kwenda...
Nina uhakika kuna wengi wetu wameshaangalia sinema au kusoma vitabu vya kijajusi ambavyo Wapelelezi wa aina mbalimbali waliweza kupelekwa sehemu na kutulia kwa miaka mingi huku wakifanya kazi zao (Double Agent) au kutokufanya kitu chochote cha Kipelelezi na wakawa wanasubiri amri itoke ili...
Nchi nyingi za Kilatino wamekuwa na aina nyingi za Slogan au Motto ambazo huzitumia ili kuwahamasisha Makamanda wao popote inapotokea wanapigania haki zao.
Wa-Cuba na wengine kadhaa wana msemo wao walioutumia miaka hizo wanapigania uhuru "Patria o Muerte, Venceremos" ambayo maana yake ni...
Mhhhh, hii dunia tunachanganyika si kawaida.....
French captain Wendie Renard holds off the challenge of Germany's Celia Sasic as the favourites struggled
R&B and soul singer Ben E King, best known for the classic song Stand By Me, has died at the age of 76.
King started his career in the late 1950s with The Drifters, singing hits including There Goes My Baby and Save The Last Dance For Me.
After going solo, he hit the US top five with Stand By Me...
Jana nimejikalia kwangu, sijui hili wala lile, nakula mziki kwenye headphone zangu za AKG, nikasikia mtu anagonga mlango wa geti kwa nguvu sana. Nilipoenda kuangalia, naona m-Zigo umetua mlangoni na macho yamemtoka pima kwa woga Mtoto wa Mwanaume mwenzangu.
Nilifungua na Zigo mbio ndani hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.