Ungekuwa karibu ningekupa glass ya ....... ungechagua utakacho. Tatizo letu binadamu tunapenda sana kuhukumu tena tunahukumu kirahisi rahisi tu kwa kuangalia muonekano wa nje. Kuvaa majoho na kujifunika ghubi ghubi hakuna maana kuwa mvaa hivyo ni mwema sana au anamheshimu sana Mungu. Tunasahau...
Mapenzi hayaelezeki yaani maelezo yake yanatofautiana kati ya mtu na mtu kutokana na experience yake kwayo. Nikijibu haraka harak naweza kusema mapenzi ni mateso ya moyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.