Mwakyembe hajakurupuka kuna jambo kaliona na ndiyo maana kachukua maamuzi mwacheni afanye kazi yake watanzania tumezoea kutokuona uwajibikaji. siku zote mfa maji haishi kutapatapa big up Mwakyembe nakutakia kazi njema kwani mpigania haki hakosi maadui usijali tuko pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.