Her husband is still being held captive, of course she won't say anything bad about Hamas!! Same for the Americans released who still have family members being held.
"Pia nyakati zinabadilika sana. Kuna kampuni za kilimo zinahusika na kuwalimia watu, hawa ni wadau wa kilimo Kaa nao uwasikilize na kujua changamoto zao na Serikali Ione inawasaidiaje na sio kuwatukana kila siku huku serikali hiyohiyo imewasajili hadi soko la DSE, na hizi kampuni nyingine...
Makala nzuri sana Pascal Mayalla. Nimekuwa nikifuatilia mabandiko yako tangu JF imeanzishwa - hujawahi acha nifikirisha kwa uandishi wako. You can actually twist somebody's mind just like that.
Umeweka topic nzuri sana. Dunia hasa ya hapa kwetu tanzania ime ignore sana hili eneo. Watu wengi wako mitaani wanazururua zurura kumbe wanaumwa akili na wanahitaji tiba. Yaani tumewapuuzia sana. Tunaona wagonjwa wengine wanapita na kuomba misaada tunatoa lakini hawa hatuna issue nao kwa kuwa tu...
Ndugu haswa wewe ndio umeiweka vizuri. Ona kwamba wachumi wengi wako central bank (BOT) exactly huko ndio kwao na sio wizara ya fedha. Hapana Finance sio sehemu moja ya uchumi - hapo ndio wengi mnachanganya. Labda useme uhasibu ndio sehemu moja ya Finance. Pia usichanganye Finance na Uhasibu...
Watu wengi hasa watanzania hawajui tofauti ya Economics and Finance. Uchumi sio finance, profesion ya Finance hajulikani vzr hivyo watu hupelekea kuwapa wizara ya fedha watu wa uchumi ambao hawana utaalamu kabisa kwenye mambo ya finance. Watu wa finance ndio walitakiwa zaidi kwenye wizara ya...
Hivi ni njia gani rahisi ya kumtimua mbunge mliomchagua? Maaana mbunge anaweza chaguliwa kweli na wananchi baadae akawageuka, inabidi wavumilie mpaka mitano iishe ndio wamtimue kwa kura. Hamna njia ya rahisi na haraka kumtimua anytime?
Hivi maamuzi ya Katiba ni swala la Raisi kuamua? Yaani Raisi ndio decision maker wa either review ya katiba ifanyike au la? Katiba ya sasa inasemaje kuhusu review ya katiba maana naona kila mtu anasema Raisi ndio aruhusu why yeye?
Sasa namwelewa Msukuma na yule mwingine Kesheki sijui jina vizuri wanavyo washambulia wasomi wa Tanzania. Wengi wa wasomi wetu wana mambo ya ovyo sana.
1. nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya. hii fikra ya namna gani? kwa hiyo gesi ibaki huko tusiiuze kwa kuwa tu Kenya watafaidika?
a. Hii sera yetu ya...
Duu yaani kwa sasa nimeshindwa kuelewa sasa hawa TAKUKURU wanatakiwa ku deal na nini. Kwa hiyo hata kama nimempa mama watoto hela ya matumizi ya chakula cha familia akaamua kuichepusha na kwenda kusukia wigi namripoti TAKUKURU then wanamfikisha mahakamani fasta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.