East Africa redio wana vipindi bora sana tena entertaining and very educative. Nilikuwaga nawafatilia sana hawa clouds ila mambo yao duu? news asubuhi wanachagua za kusoma utasikia jambo leo, uhuru, mwananchi story itakuwa kwenye page ya tatu au ya nne. niko na kina Ian Dialo wanapiga manews...
Da same to Kuruan. Yesu aliacha wakristo, na Mtume Mohamad aliacha waisilamu, lazima tujiulize madhehebu madogomadogo kwenye ukristo na uislamu yalikujaje.
Habari wandugu nimekuwa nikivinjari JF kwa muda mrefu ss, nimeona ni utoto kuendelea kuvinjari jmvini pasipo kujiunga na wanafamilia,leo najitambulisha rasmi kwenu naomba mnipokee kwa mikono miwili na kwa moyo mkunjuuuufffuuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.