Hizo ni mbinu za wazungu kukusanya pesa za waislamu ili wazalishie bila kulipa fadhila za wateja.Maerkani walizitumia sana za warabu ila sasa waarabu waarabu wanainvest kwao mtaji wa western umeanguka
Nadhani wanaona rahisi kusafiria nyota ya wenzao waulize vizuri Marehemu Amina hakupata ubunge kwa kupiga debe radioni wanajidanganya bora wang'arishe ya kwao. Wafanye kazi iliyowapeleka na sio kuwa wapiga debe watajutia baadae.:angry:
Tatizo tunatumiwa bila kujijua EL anataka urais 2015 na anatumia mbinu zote ili kusafisha njia.Jihadhari sana na maelezo yako usijeumbuka baadae 2015 sio mbali cool Girl
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.