KUNA wataalamu wanasaidia watu kama wewe. kwa makubaliano anakuchongea hiyo nembo ili ujigongee mwenyewe maana hao TBS wakileta nembo yao watakudai pesa nyingi zaidi ya gharama za kuandaa bidhaa yako
wanajamvi napenda kuwajuza kuwa kuna nafasi za kupalilia kahawa katika shamba la kahawa la burka estate lililopo jijini arusha kama unaelekea uwanja wa ndege kisongo.kwa ambaye yupo teari nenda moja kwa moja ofsini kwao na kazi inaanza jumatatu . HAKUNA KIWANGO CHA ELIMU WALA REFEREE,.
kwani bella maneno yako ynauongo mwingi mmno,wewe kwa miaka 18 umemaliza form 6 lini na matokeo ushayaona na hizo lugha ukazisoma? maana kila anaemaliza form 6 anamatarajio ya shahada. otherwise kuna watu hawatafuti kazi la zaidi wanataka kuonekana tu pls acheni utani
NILIKOSA kazi ya kuhesabu kura, sasa nimekosa kazi ya sensa, sababu ni kukosa referee maana nina elimu ya shahada.sasa nimeamua kijipanga na kuanzisha chama cha marefaree kwaajili ya wanyonge kama mimi wenye elimu lakini wapo mtaani, huku arumeru urefaree ndo umewapatia watu kazi bila vigezo...
sasa wenzetu wa DAR mambo yenu mnayapata nje nje tu huku arumeru mambo ni kimya kama vile hakunaga sensa mwaka huu, kama watatulipa laki tano ntakua nimepata pesa ya kurudi dodoma ku graduate maana tempo zimekua kaa yesu yaani ni hakunaga kabisa nimetafuta hata ya ulinzi wa usiku nimekosa hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.