Dr Slaa, amezungumza hoja za msingi sana japo hali mvia, japo ni baraka, imekuwa ni kikwazo cha kunfanya maeneo mengine asizungumze kwa kirefu.
Amezungumzia mambo yafuatayo:
1. Utawala wa sheria
2. Mkakati wa UKAWA katika kuing'oa CCM
3. Uozo wa Jatiba inayopendekezwa na utaraatibu wa...
Mbunge wa mwisho ni Mzee Amir Jamal, aliyetetea maslahi ya wanachi hata kujengewa viwanda kadhaa kikiwapo kiwanda cha Tumbaku na kadhaa. Waliofuata walikuwa ni Shamim Khan, Mazora na kisha Oscar Mloka. Akaja Mzelu (kipindi cha miaka 5 kasema mara 2)..kisha Abood.
When the truth is spoken by free people, conservative politicians provoke it as lies..
Nothing new.. dream killers and dream haters are from the same family.
Huu ni ujinga wa MaCCM. wamesahau Deo Sanga mbunge kiongozi kucheza ndombolo bungeni anaelimu gani. MaCCM yanasahau Bibi Titi Mohamed alikuwa na elimu gani alipopigania uhuru wa Tanganyika na akaeleweka.Msigwa aliwaambia "Katika Bunge hili Profesa na mtu wa darasa la pili hakuna tofaiti, wote...
Wabunge watatu hao leo jioni hii watakuwa Viwanja vya Zimamoto, vilivyopo katika Manispaa ya Morogoro. Watakuwa wakishusha nondo a.k.a. makonbora ya nguvu katika Operation Delete CCM. Watu wanazidi kujongea uwanjani muda huu. Hali ya hewa ni ya mvua ndogondogo (manyunyu) huku angani kukiwa na...
Weston, tunapenda sana watanzania haswa vijana waajiriwe. Lakin, hatuwezi kufurahia kuajiriwa kwa vijana wasio na sifa. Halafu, unaowaajiri hawaendi kuhudumia makaratasi Bali watu, watu wagonjwa.
Nimemuelekeza mwenzako nini cha kufanya. Kwa nyongeza tu wasiliana na walimu katika chuo chochote cha fani nilizozitaja ambacho mwaka Jana wanachuo wao walifanya mitihani ya Wizara atakwambia ukweli. Halafu Skype majina ya wanafunzi wanaosupp halafu ingiza kwenye hiyo database uone majibu yake.
Unajua hata Abunuwasi mara kadhaa alionyesha hekima ya wafalme si kitu?
Nenda kwenye www.moh.go.tz ingia kwenye ile link ya Tangazo la ajira halafu ingiza majina na taarifa nyingine ikiwa kada wanayosomea, ya hao wanafunzi am so unataarifa walisupplemt katika mitihani yao ya mwaka Jana, ndipo...
Jambo hili ni la ajabu sana. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetangaza nafasi za ajira kwa wahitimu na wasio wahitimu kwenda katika Halmashauri mbalimbali nchini. Tetesi zilizopo ni kuwa jambo hili limefanyika kisiasa zaidi ili ionekane kupitia Big Result Now wataalamu wa sekta ya Afya...
Amaa!!
Utaratibu huo ulianza lini?
Nyerere alijengewa wapi? (aling'atuka 1985)
Mwinyi alijengewa wapi? (alistaafu 1995)
Mkapa alijengewa wapi? (alistaafu 2005)
Kikwete bado hajastaafu na nyumba hiyo ilianza kujengwa 2006 na Yule mkandarasi aliyepata tender ya kujenga ghorofa katika viwanja...
Yaweza kuwapuuza baadhi ya wastaafu kwakuwa hawawezi kugoma.
Ilipotajwa kuwa hali ya kifedha ya Serikali ni mbaya, wapuuzi wakina Msalani na Faizafoxy wanapinga.
Hata katika hili watakuja na dharau zao.
Mkuu EMT, katika mengi ninakupongeza LAKINI katika hili sikubaliani nawe na Kasisi Wotherspoon. Katika fani ya tiba Principle mojawapo ya Code of Professional Conduct ni Confidentiality and Privacy. Hapo mmelivunja hilo. Kutoa taarifa za mgonjwa kwa kiasi hicho..NO. Haikubaliki. Ni aibu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.