ASKARI wawili wa jeshi la wanyama poli wameuawa jana jioni baada ya kupigwa na wananchi wa kijiji cha Nyamonge kata ya Runzewe wilayani Bukombe baada ya kuzaniwa kuwa ni majambazi.
Baada ya askari hao kuuawa pikipiki waliyokuwa nayo iliteketezwa kwa moto. Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la...
Wakuu heshima zenu.
Nina interest ya kuwekeza kwenye hii sector ya ufugaji either kwa kushilikiana na NARCO au na watanzania wenye blocks.
Eneo liwe kwenye Kikula Ranching complex ambayo inajumuisha Kikula yenyewe, Kagoma na Mabale, eneo la pili ni Missenyi Ranch.
Kama kuna mudau mwenye...
Nauza gari yangu DAF XF truck ya mwaka 2003 pamoja na tera aina ya uchanja (Super single), gari iko safari kupeleka mzigo Kahama na iko poa sana.
Vehicle Details:
Make: DAF XF
Model number: XF95
Registration: T714 CND
Engine number: U39501
Engine capacity: 12600
Bei ni 55m kwa pamoja...
Habari za kuaminika kutoka kwa dada yake na Rau Masha ni kwamba yuko hoi Bugado Hospital, na wanachadema wanadai matokeo yatagazwe, hapotoshi ofisi za jiji Mwanza.
HABARI ZA KUTHIBITIKA!!.
Ufisadi wa Samwel Sitta
Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao , basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa...
Kama mheshimiwa EL angeendelea kubaki MP wa nchich yetu tugejikuta tunalambwa ma bilion ya shilling imefahamika.
Mvua ya Thailand maarufu kama mvua ya Lowassa kama makubaliano ya kimkata yagefikiwa ingeligarim kiasi cha pesa za kitanzania bilion kumi na tano.
Taarifa ya mvua hizo, zilikuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.