Search results

  1. Return Of Undertaker

    Amnesty International: Mamlaka ya Tanzania iwaachie mara moja bila Masharti Wakosoaji wa Mkataba wa DP World inaowashikilia

    Shirika la kutetea haki za binadamu, Amnesty International imeitaka Mamlaka ya Tanzania kuwaachilia mara moja na bila masharti Willibrod Slaa, aliyekuwa mbunge na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Boniface Mwabukusi, mwanasheria na mwanaharakati, na Mdude Nyagali, mwanaharakati wa kisiasa, ambao...
  2. Return Of Undertaker

    Anderson Ndambo: Zitto ni mamluki wa CCM anaitumia ACT na Zanzibar kwa malengo binafsi

    Kwanini zitto ametumia mtutu kumbeba Babu Duni. 1. Kulipa fadhila kwa Babu. Baada ya Maalim Seif Kufariki, Kikatiba ya Zanzibar, ilitakiwa ndani ya wiki mbili lipatikane jina la Mrithi wa Makamo wa kwanza wa Rais Zanzibar. Zitto akamfuata Babu na kumuuliza juu ya nani Ambae Maalim alikusudia...
  3. Return Of Undertaker

    Kamati ya Bunge yapigwa butwaa na Deni la ATCL kufika bilioni 472. Kuna hatari ya shirika kufa

    Kamati ya bunge yang'aka na kushangaa deni la shirika la ndege la ATCL kufika shilingi bilioni 472 na kuna hatari ya kufirisika na kufa kama seikali haitaingilia kati. HT gazeti Mwananchi.
  4. Return Of Undertaker

    Tozo ya miamala na miradi ni UWONGO na WIZI sababu Benki ya Dunia ishaipatia Tanzania mikopo ya elimu na barabara ya tril 2.3 ziko wapi?

    Hii ni taarifa ya Mwigulu mwenyewe "Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Dunia imeidhinisha mikopo ya masharti nafuu kwa Tanzania. Mikopo hiyo yenye thamani ya Shilingi trilioni 2.3 ni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi minne ya maendeleo, kwa mujibu wa Waziri wa fedha wa taifa hilo la Afrika...
  5. Return Of Undertaker

    Inakiwaje rais anadai tufuate sheria wakati huo akivunja katiba juu ya mikutano ya kisiasa

    Ivi hapa mama Samia kapotea. Inaqezekanaje usisitize juu ya kufuata sheria za nchi wakati huo ukivunja katiba ya nchi kwa kuzuia shughuri za kisiasa? Ni sheria ipi inayotaka vyama vifanye mikutano ya ndani pekee? Ni sheria gani inayosema siasa kwa mbunge na eneo lake pekee hapa tanzania?
  6. Return Of Undertaker

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    Today the US kept its promise to hold to account individuals who interfered with Tanzania’s elections last October. Secpompeo has imposed visa restrictions on those responsible for, or complicit in, undermining the democratic process in Tanzania. Individuals who undermined Tanzania’s democratic...
  7. Return Of Undertaker

    Bernard Kamillius Membe ajiuzulu nyazifa zote ndani ya ACT Wazalendo. Kuwa mshauri wa kisiasa wa Tanzania

    Bernad Membe ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi zote ndani ya ACT, akiwa kijijini Rondo Chiponda, Lindi, ameiambia CloudsTV kwamba hajafanya uamuzi huo kwa shinikizo lolote na sasa atabaki kuwa Mshauri wa masuala yanayoihusu Tanzania na demokrasia ya kweli. #MillardAyoUPDATES
  8. Return Of Undertaker

    Membe ajiuzulu nyazifa zote ndani ya ACT Wazalendo kuwa mshauri wa kisiasa wa Tanzania

    Bernad Membe ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi zote ndani ya ACT, akiwa kijijini Rondo Chiponda, Lindi, ameiambia CloudsTV kwamba hajafanya uamuzi huo kwa shinikizo lolote na sasa atabaki kuwa Mshauri wa masuala yanayoihusu Tanzania na demokrasia ya kweli. #MillardAyoUPDATES https://t.co/10M200YtH7
  9. Return Of Undertaker

    Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

    Tulidanganywa kuwa anafanya service ya week mbili kumbe anakusanya virago vyake aondoke uwekezaji bongo umemshinda. ===== Mahakama Kuu imezuia kufungwa kwa Kiwanda cha Dangote Cement Limited ambacho mdeni wake aliomba kifungwe. Kampuni ya NSK Oil and Gas Limited ilitaka Kiwanda cha Dangote...
  10. Return Of Undertaker

    Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge

    #HABARI Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa @halimamdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao...
  11. Return Of Undertaker

    Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

    ALERT CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:- Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19 Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana...
  12. Return Of Undertaker

    Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

    Muda mfupi kabla Kamati kuu CHADEMA kuwahoji wanachama wake walioapishwa kuwa wabunge wa viti maalum, wanachama hao wamesisitiza kutotokea mbele ya kamati kuu wakidai kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA wakihofia usalama endapo watafika ofisi za chama hicho. -- Awali Baraza...
  13. Return Of Undertaker

    TACAIDS: Wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya UKIMWI wamejitoa

    Moshi. Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (Tacaids) imesema wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya Ukimwi wamejitoa. Taarifa hiyo imetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa Tacaids, Leonard Maboko kwenye ufunguzi wa wiki ya Ukimwi duniani uliofanyika viwanja vya Shule ya...
  14. Return Of Undertaker

    Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

    HABARI: Tumeitisha kikao cha kamati kuu Ijumaa 27 Novemba 2020, Dar es Salaam na tutawaandikia wahusika ili kisitokee kisingizio hakupata taarifa, natangaza wito kwa wanachama wetu 19 walioshiriki kuapishwa kufika makao makuu Kinondoni Ijumaa saa 2:00 asubuhi – John Mnyika...
  15. Return Of Undertaker

    Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

    Akihojiwa na shirika la utangazaji la BBC Mnyika anasema kwa mujibu wa taratibu na sheria mwenye mamlaka ya kureuwa majina ni baraza kuu la chama na katibu wa xhama ndie mwenye mamlaka ya kuandika barua kwa tume kuwasilisha majina ya wabunge wa viti maalum. Yanayoendelea Dodoma inabidi tume na...
  16. Return Of Undertaker

    Tanzania: Withdrawal of individual rights to African Court will deepen repression

    Tanzania: Withdrawal of individual rights to African Court will deepen repression The Tanzanian government has withdrawn the right of individuals and NGOs to directly file cases against it at the Arusha-based African Court on Human and Peoples’ Rights, Amnesty International has established...
  17. Return Of Undertaker

    Tetesi: Tanzania yajitoa rasmi Mahakama ya Afrika. Sasa hakuna haki itakayotafutwa katika mahakama hiyo

    Tanzania imejitoa rasmi katika Mahakama ya Africa, hivyo NGO's, mashirika na watu mbalimbali hawataweza tena kufungua kesi katika Mahakama hiyo kutafuta HAKI. More to follow...
  18. Return Of Undertaker

    "Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

    According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021. Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa...
Back
Top Bottom