Mimi ni kijana niliyeamua kurudi kijijini wilaya ya Magu na kuamua kuwa mkulima wa kilimo cha pamba kitu ambacho ni nadra sana kufanywa na vijana wa leo, lakini kinachinisikisha na kunifanya nifikirie tene kurudi mjini ili tuendelee kubanana huko ni jinsi serikali yetu inavyoshindwa kutujali...
Wabunge wa CCM wajue kwamba wapo bungeni kwa ajili ya kuwawakilisha wananchi hivyo maslahi ya kwanza yawe kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wao na maslahi ya kulindana kichama yapewe nafasi ya pili. Hongereni sana wabunge Mpina, Lugora, Filikunjombe kwa kuelewa kile kilichowapeleka bungeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.