THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE Chief Secretary, Philemon Luhanjo, has intervened to help convince Mlimani Holdings Limited carry on with the multi-billion shillings Mlimani City project whose progress has been proceeding at a snails pace.
Documentary evidence availed to THISDAY...
Kwanza nampa pole Ana Kilango kwa kuumwa na apate nguvu mapema arudi nyumbani.Natoa hongera kwa JF kuweza kuwapo tena baada ya Mwema kuamua kutaka kutuzima na mwisho poleni sana na Hongereni Mike na Marc.
Nimeona ni muda muafaka sasa na kuweza kuuliza hapa JF.Sote tunajua historia ya Anna...
Jamani toka Viwanja vya Ikulu hapa nimeshuhudia mahojiani na baadhi ya Mawaziri wa JK .Nimewasikia wote kuanzia Seif Khatibu, Simba , Ghasia , Ngeleja nk .Sikujua kama Sofia Simba na Ghasia ni watupi kiasi hiki .No wonder tunalia Amani na Utulivu.Mtu anaulizwa juu ya Utawala bora anasema ni...
Shadrack Sagati, Dodoma
Daily News; Friday,February 15, 2008 @07:10
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amekiri kuwa Serikali haikuwajibika ipasavyo ndiyo maana ikaundiwa kamati teule na Bunge kuichunguza juu ya mkataba wa kampuni ya Richmond iliyopewa jukumu la kuzalisha umeme wa dharura...
Nimelazimika kuandika kidogo hapa kusikia wenzangu mnajua nini juu ya aina hizi ya Ziara za Marais kamam Bush kwenye Nchi masikini .Hii Ziara mimi imeniacha gizani kwa kuambiwa ina faida kubwa sana kwa ujio wake .
Mimi ningalipenda kama faida itazidi gharama ambazo Tanzania itakuwa imeingia...
Hii ni Made in Tanzania tu!
Januari 23, 2008
JOHN Nolan, yule raia wa Ireland aliyejaribu kuighilibu Serikali ya Tanzania imruhusu aanzishe mashamba ya kamba (prawns) ambayo yangeiharibu kabisa Delta ya Rufiji, alipata kuliambia gazeti moja la Uingereza kwamba kati ya nchi za "ajabu"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.