Search results

  1. M

    Uchaguzi 2020 Hili la Dkt. Magufuli kutumia kisukuma kwenye kampeni siafiki

    Nimemsikia mgombea urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara. Hatukuwahi kusikia Rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu. Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF...
  2. M

    Mikoa yenye maambukizi makubwa corona iwekewe quarantine na vizuizi vya upimaji

    Naishauri serikali, kuwepo na gates kwa ajili ya kupima wasafiri waingiao na watokao katika mikoa hiyo. Mfano Dar, gate za upimaji abiria wote ziwekwe kwenye njia zote za mabasi yaingiayo na kutoka Dar, hali kadhalika kwa mikoa yote, hii itasaidia kufanya mass testing na kuzuia uenezi kwenye...
  3. M

    Eng. Mfugale amemkwaza Rais?

    Wakuu, Leo wakati mkuu wa nchi anakagua pale Ubungo interchange, ni dhahiri kabisa mkuu kuna kitu kimemuudhi, yule hisia zake hazifichiki, nadhani kuna kitu Mfugale amemkwaza Mh Rais. Mimi binafsi sikupenda Mfugale alipokuwa anatoa maelezo kwa kutumia lile lifimbo lake la kutembelea kila mara...
  4. M

    Kama taratibu zinaruhusu, shule hizi zihakikiwe

    Kuna baadhi ya wanafunzi nawafahamu wametoka miongoni mwa shule hizi zinazoongoza kitaifa/form 4, wanapokuwa A level au hata chuo ukweli ni tofauti kabisa na ufaulu wao wa O level. Hebu Wizara husika chukueni jukumu la kuwaita hao wanafunzi wa St. Francis wote na kisha just tafuteni utaratibu...
  5. M

    Mrejesho Treni Dar-Moshi

    Wale ma superstar ambao kila kukicha mumekua na tabia ya kuishambulia hii treni, eti watu wa kaskazini hawatapanda, napenda kuwataarifu kua treni inajaa kila siku, na imeongeza idadi ya safari kwa wiki kutokana na demand kua juu, naomba msiwe mnapinga juhudi za serikali inapowaletea wananchi...
  6. M

    Kwanini Walinzi wa Viongozi wanavaa miwani mieusi?

    Huwa nawaona nazo walinzi wa viongozi mbalimbali, almost dunia nzima type ni ileile, je kwa mwenye ufahamu ni miwani za kawaida au ni special na zina nguvu /ufanisi wa ziada, kwa anaefahamu please
  7. M

    Misururu ya foleni TRA changamoto kwa ulipaji kodi

    Nalizungumza hili nikiwa nimekumbana nalo mara kadhaa ninapokwenda TRA kulipa kodi, misururu ni mirefu na wafanyakazi wa TRA kumsikiliza mteja ni changamoto hasa ukizingatia umati unaomsubiri, athari za foleni hizi ni nyingi, ila kubwa ni kushuka kwa mapato. Uongozi wa TRA ni jukumu lenu...
  8. M

    Kupiga kura kunahitaji moyo

    Kwa hali ilivyo, kuwa watu fulani watatumia gharama na rasilimali zao ili mtu wao ashinde uchaguzi, je kuna sababu ya kupanga foleni kupigwa na jua ilhali unajua matakwa ya chama tawala ? Mifano ni mingi, mimi binafsi nimeapa sintakaa nipige kura labda utaratibu unadilishwe, eboo, huku ni...
  9. M

    Ujenzi wa Chato stadium

    Hivi karibuni tumesikia toka kwa waziri wa nishati, ambaye pia ni mbunge wa chato, kuwa serikali imedhamiria kujenga uwanja mkubwa wa mpira ambao utakuwa wa pili baada ya ule wa dar es salaam. Nimekua na maswali mengi pasi na majibu. Na kama kweli serikali imedhamiria kufanya hivyo naomba...
  10. M

    Kiswahili sanifu kinapotea, ni janga kubwa

    Naandika kwa masikitiko, ninaposoma magazeti, maandiko mbalimbali nk kwenye mitandao, au hata kusikiliza mazungumzo ya vijana wetu wa leo nagundua kuna shida kubwa sana kwenye lugha yetu, herufi "h" imepotea kabisa, mfano ni maneno yanayohitaji" H" yanapewa "a, e, i,o,u" mfano akuna, ata kidogo...
  11. M

    Watanzania hatuna uzalendo, Mungu tusaidie sana

    Naandika nikiwa na uchungu sana, hoja nyingi za hapa JFzinaonyesha ni jinsi gani ndugu zangu watanzania tusivyokuwa wazalendo mwendo uliopo ni kutukana Serikali hata ambapo haistahili, najaribu kupitia threads za JF za wenzetu nchi za jirani, wao wana support kubwa sana kwa nchi zao, regardless...
  12. M

    Pengo la Kibonde halizibiki

    Mimi ni mpenzi wa kipindi cha jahazi ila ukweli hiki kipindi bila kibonde (RIP) kimepwaya, Captain na George Bantu nawaomba msikate tamaa hizi ni changamoto za maisha
  13. M

    Swali kuhusu ujenzi wa uwanja wa mpira Dodoma,

    Ni katika kujua tu, kwa anae fahamu naomba anijibu, Serikali ya Morocco ni tajiri kiasi gani hadi watujengee uwanja, je kwao ki miundo mbinu kama hiyo wako vizuri sana ? Je kuna malipo yoyote/faida toka kwetu, mwenye jibu la uhakika naomba anielimishe, tafadhali kama huna jibu ni bora ukae kimya
  14. M

    Polisi wa usalama barabarani ni wengi kuliko askari doria

    Hili suala linazidi kunishangaza, kila kona, mji mzima utawakuta kuanzia 6-10 wakiwa na vidubwana vyao vya kutolea risiti, ole wako ukutane nae, atatafuta kila sababu ili tu ulipishwe faini ya 30,000/= sio siri hii pesa hua inauma sana hasa ukizingatia hawa jamaa ni kama wametumwa wakusanye...
  15. M

    Mikopo kwa vijana/kina Mama toka katika tengo za halmashauri zipo kweli?

    Kila kukicha tunaambiwa makundi ya vijana/kina mama wanatakiwa kupewa mikopo, kutoka katika makusanyo ya halmashauri husika, jamani hiki kitu kipo kweli? Nimekua nikimsikia naibu waziri wa ajira, vijana ... mikakati mbalimbali kuhusu vijana hususan kuwezeshwa kibiashara nk, hivi vitu vipo ...
  16. M

    Muhammad saad al-beshi, Saudi Arabia's state executioner ...

    Huyu ni raia wa Saudi Arabia ambae ameajiriwa na serikali ya nchi hiyo hususan katika hukumu za kunyonga kwa kuchinja watu, na anakiri kuwahi kuchinja hadi watu 3 kwa siku, na anapinga kuwa kuchinja binadamu sio ukatili, msikilize hapa
  17. M

    Nimeamini, vita ya madawa ya kulevya ni ngumu

    Ni ukweli usiopingika, kwamba hii vita ni ngumu. Tuhuma zote sasa zinamuendea mtu mmoja na ukiangalia kwa undani kwa namna moja ama nyingine wote wanaopeleka mashambulizi kwa huyo mtu ni kwamba kama hajaguswa yy basi ni mtu wa karibu yake. Imefika mahali sasa mjadala umehamia kwenye maisha yake...
  18. M

    Kuuliza sio ujinga

    Kwa kiswahili, mzazi wa Peter anaitwa Baba Peter, hivi kwa kiingereza Kuna utaratibu huu ? naomba tuelimishane
  19. M

    Mtoto wa Rais mteule wa Gambia afariki baada ya kung'atwa na mbwa

    Ni kijana wa takriban miaka 8 amefariki dunia kwa kung`atwa na mbwa ambae anasadikiwa kuwa na kichaa. Mtoto wa kiume wa rais mteule wa Gambia, Adama Barrow amefariki akiwa njiani kupelekwa hospitali baada ya kuumwa na mbwa. Habibou Barrow alifariki Jumapili baada ya kukumbwa na mkasa huo katika...
  20. M

    Hili la wamachinga limekuwa kero mjini

    Ndugu zangu, katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku nimezunguka baadhi ya mikoa, ila ki ukweli hali inatisha na kusikitisha, juzi nilikua Arusha, mji umeharibika, maeneo karibu na soko kuu machinga wanapanga bidhaa mpaka barabarani, jana asubuhi nawahi stendi ili nisafiri kurudi kwenye...
Back
Top Bottom