sasa unaweza ukaongeza na nyama na nyanya chungu pia, unachemsha nyama pembeni then ikisha kwiva unaweka kwenye kisamvu chako alafu una unga kama kawaida kwa nazi weeeeeeeeeeeeeeeee! utakula mpaka ujute ama pia waweza kuweka nyanya chungu na kabla hujaweka nazi weka tui lako la karanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.