Mwanakijiji Wa 2008 2009 sio huyu Wa Leo. kapoteza mvuto na sijui kama nae anaongozwa na Tumbo.hana busara tena labda akili umeanza Ku retardate kwa ajili ya umri
sio yeye.manake sijaona tusi humo. huyu wa kwetu ni mtaalamu wa kutukama na kusema ukweli.najua yeye ataandika "Huyu Laila nae mpumbavu.nampa mbinu afu yeye hazitumii.bora limeshindwa. hongera Uhuru"
Watanzania kwa kupenda sifa za kijinga? Sasa wewe mtu atuhumiwe kumdinya mtu afu wewe ukurupuke eti "KWA SISI TUNAOJUA" as if kila wakienda kudinyana ww unaenda kuwashikia Miguu.
wabongo bana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.