sioni sababu ya kushurutishana kulea mtoto mpaka kupelekana ustawi wa jamii mwanaume kama hataki kumlea mwanae mtasumbuana tuu hata iweje.............mwanamke chakarika tafuta kipato lea mwanao achana na huyo nyumbu fight upate maisha yanayoeleweka kwako na kwa mwanao, maisha haya ya tanzania...
oeni wanawake wa makabila mengine acheni kelele,kwani wanawake wa kichagga wanawashikia panga kua ni lazima muwaoe au nyie tuu na kujishaua kwenu kua mmependa:confused2::confused2:
Wapo wasiojua kusamehe...hasa wanawake wao hua hawasamehi bali hupotezea tuu.
Wanaume nyie hua hamsamehi usaliti ndio maana mnawafukuza wenzi wenu......wao wanawapotezea tuu kwa faida ya watoto wenu
mpaka saa saba awe amerudi.......halafu akarudi kwenye saa 12!!!!!kwani apo palikua kwake au kwa wazazi wake???ifike mahali muache ujinga wa kuishi na wapenzi wenu,,,,unaanzaje kuishi na mpenzi badala ya mke/mume
kwa neno la faraja ni kwamba umefanya vyema wote mmepata fundisho
Mwanangu kafuta channel zote kwa kubonyeza factory default,natumia receiver ya media com MFT-930+ ninaomba mnielekeze namna ya kuzirudisha upya izo channel.
Nani kakutuma uwajaribu wachaga wote jamani kama co upunguani huo?na kama hujawajaribu wote kwanini useme eti wachaga wote?!c uende kwa wazaramo,wahaya na wengineo makibila chungu nzima tanzania hii alaa!!ANGALIZO ukiachana na mpenz wa kwanza halaf wa pili na watatu tena kwa tatzo moja jitizame...
Sasa kama unamsubiri amuache mwenzio huon hako ndio katabia kake atajakuacha nawe pia ili aende kwa mwingine???
Jaribu kushirikisha ubongo shosti moydn mdanganyifu jaman:banghead:
Kuna shosti yangu wakaribu kakumbwa na jambo apa....miaka kama mitano iliyopita alikua na mpenzi ila kwa sababu kadha wa kadha wakatengena baada ya muda akapata mpenzi mwingine na kama ilivyokua jamaa akamtelekeza yeye pamoja na mtoto.Sasa kakutana na mpenzi wake wa enzi naye ataka warudiane pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.